Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichanga ata mia swali?kweli nimegundua hawa jamaa ni washamba sana.... unanunua EMU kwenda kubebea kuku na mbuzi???
tumia Goffen utuliza maumivu😀😀 na ata tukinunua bullet nyingine tukawa tunaenda kunyeamo inakuhusu 
🤣🤣🤣😁😁😀😀🤣Wewe ndio lishamba la kutupwa. Yaani unafikiri hizo EMU ni za kubebea kuku na mbuzi?😎kweli nimegundua hawa jamaa ni washamba sana.... unanunua EMU kwenda kubebea kuku na mbuzi???
hukumbuki mukija kutupigia magoti mukitaka tuwakopeshe.... wacha kuwa mpuziUlichanga ata mia swali?![]()
tumia Goffen utuliza maumivu😀😀 na ata tukinunua bullet nyingine tukawa tunaenda kunyeamo inakuhusu
🤣🤣🤣😁😁😀😀🤣
utakua unabebea gunia la mahindi au samaki?Wewe ndio lishamba la kutupwa. Yaani unafikiri hizo EMU ni za kubebea kuku na mbuzi?😎
Uso wa kinyang’au umekushuka. Ha ha ha; kama nakuona vile😎utakua unabebea gunia la mahindi au samaki?
washamba nyie
Shauri yako😁enyewe hii nchi inachekesha sana. nitakua hapa kuwacheka kila siku.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shauri yako😁
Nimesha mwambia ndugu tupeane ongeraaa sisi ni majirani kabisa tena wa damu 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😁 😁 😁 😁utakua unabebea gunia la mahindi au samaki?
washamba nyie
Mbona umeumia sana, kulikoni?😎if the motive was to carry passengers then the project is bound to fail 😂😂😂😂😂
hata nimesahau, hao passengers wenyewe wako wapi, nchi imejaa masikini hawaezi afford tikiti.
priorities matters!