Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ile ilikuwa imebeba empty containers for show
lia zaidi
F3Ed6UCWQAAe7jH.jpeg
 
hii habari haijakaa poa sana aisee πŸ˜† πŸ‘‡
IMG_20240507_001503.jpg

wabongo wote right now πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
images-10.jpeg

images-9.jpeg
 
hii habari haijakaa poa sana aisee πŸ˜† πŸ‘‡
View attachment 2986391
wabongo wote right now πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 2986392
View attachment 2986393
Hata ingekuwa wewe kwa akili ya kawaida uchague kati ya hizi reli mbili ungechagua kujiunga na reli ipi?
Time will tell kaa kwa kutulia dogo.

Kenya:
Speed 80kph cargo
Speed 120kph passengers
Source of power Diesel (imported)
Axle weight 25T
Train length 1km
Classification chinese standards

Tanzania:
Speed cargo 120kph
Speed passengers 160kph
Source of power electricity produced from the grid
Axle weight 35T
Train length 2km
Classification american/European standards
 
Hata ingekuwa wewe kwa akili ya kawaida uchague kati ya hizi reli mbili ungechagua kujiunga na reli ipi?
Time will tell kaa kwa kutulia dogo.

Kenya:
Speed 80kph cargo
Speed 120kph passengers
Source of power Diesel (imported)
Axle weight 25T
Train length 1km
Classification chinese standards

Tanzania:
Speed cargo 120kph
Speed passengers 160kph
Source of power electricity produced from the grid
Axle weight 35T
Train length 2km
Classification american/European standards
sio mimi niliochagua hapa πŸ‘‡
IMG_20240507_001503.jpg

kwaio usinililie mm.
waliochagua wako kibiashara zaidi na wanajua changamoto zinazokuja na electric trains. most of the countries zinazotumia electric trains, wanazitumia from city A to city B (intercities) ambayo huwa 200 - 400kms. sasa nyinyi na akili zenu mulizorithi toka kwa Kinjekitile Ngwale mumekurupuka.
btw Kenya Sgr is Chinese Class 1 standard.
dogo, amini usiamini, after 5yrs your Sgr will be worn out na hii ndio situation tunayoenda kushuhudia πŸ‘‡
IMG_20240510_123011.jpg
 
sio mimi niliochagua hapa πŸ‘‡
View attachment 2986625
kwaio usinililie mm.
waliochagua wako kibiashara zaidi na wanajua changamoto zinazokuja na electric trains. most of the countries zinazotumia electric trains, wanazitumia from city A to city B (intercities) ambayo huwa 200 - 400kms. sasa nyinyi na akili zenu mulizorithi toka kwa Kinjekitile Ngwale mumekurupuka.
btw Kenya Sgr is Chinese Class 1 standard.
dogo, amini usiamini, after 5yrs your Sgr will be worn out na hii ndio situation tunayoenda kushuhudia πŸ‘‡
View attachment 2986631
Hamnazo kichwani wewe ubishi wa bure tuu
 
Kadata huyu.
Eti nchi zinazotumia treni za umeme huzitumia mwisho kilometa 400.
Aende akaitizame Japan karibuni yote imezungukwa na mtandano wa reli ya umeme/bullet trains.
Fala sana huyu.
we jamaa umerukwa na akili. kwanza unachofaa kujua ni kwamba Japan ni nchi ndogo sana (size) na ina population kubwa (130m) pia ina miji mingi na hakuna hata mji mmoja unaoweza kuufananisha na dar. dar yenyewe hovyo halafu uunganishe na dodoma ambao hauna mpango wowote kabisa. wachana na Japan sio levo yako kabisa. ww nenda kabishane na Burundi.
IMG_20240510_201029.jpg
IMG_20240510_201243.jpg
 
Back
Top Bottom