Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Lewis254 akiona hivi roho inamuumaa😎😎
IMG_20240623_121645.jpg
 
kumbe miaka kumi ilopita 👇
IMG_20240623_124835.jpg

alafu ikumbukwe huyu M7 kuna wakati alizuru Mombasa Port,,, hakuamini alichokiona na macho, alirudi kwao kuenda kuwasimulia watu wake
 
Nakumbuka M7 alipozuru Mombasa port ilikua iko live on NTV, Lets just say 'shook' is the word that best described his feeling after witnessing the sheer magnitude of the port and the infrastructure development around and within the port. He was like, "I cannot believe the amount of development, this place is its own city"

View attachment 1954028

View attachment 1954036




And BTW, Uganda Revenue Operates a second office at Nairobi ICD

View attachment 1954026
hata mm pia nakumbuka!
 
#Rutomustgo.
we deserve better. sisi sio maiti kama nyinyi. imagine hapa ni Gongo La Mboto, picha ya leo leo hii 👇 🤭
20240621_155727.jpg

kisha umekaa umetulia tuli kama maji kwenye mtungi. yaani akili yako inakuambia hakuna shida hapo na uko proud kusema ni picha ya Uganda Mgr. ww ni ng'ombe kama yule domokaya mwenzako wa kuota mchana kweupe
IMG_20240619_213459.jpg
 
we deserve better. sisi sio maiti kama nyinyi. imagine hapa ni Gongo La Mboto, picha ya leo leo hii 👇 🤭
View attachment 3023821
kisha umekaa umetulia tuli kama maji kwenye mtungi. yaani akili yako inakuambia hakuna shida hapo na uko proud kusema ni picha ya Uganda Mgr. ww ni ng'ombe kama yule domokaya mwenzako wa kuota mchana kweupe
View attachment 3023823
#Rutomustgo.
 
Suala hilo limeshaonwa na uongozi. Linashughulikiwa. Kwenye mradi mkubwa kama huu huwezi kuziba mapungufu yote kwa wakati mmoja. Elewa hilo😎
Yah wafanye sio Geza Ulole unakataa mara ni picha ya zamani mara si TZ.
Leo nimeona hata nguzo zipo kwa ajiri ya fensi
20240623_102211.jpg

20240623_102158.jpg

Mradi mzuri.

Hata mimi naona treni mzuri sana tena inatumia technology kubwa hata kuliko ya kenya.
 
Yani hapa sijui watafanya nini ni kujenga zege tuu na ngazi kwa ajiri ya watu kuvuka , maana ni wengi wanaotumia pale.

Hapo hakuna namna.
Sasa sijajua wao watarekebishaje.
 
Back
Top Bottom