Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Unarukaruka kama maharage.
Kama wewe ulivyoshindwa kwenye ishu ya food security ndivyo wenzako walivyoshindwa kwenye ishu ya higher cost of living in Kenya.
Na wewe ni walewale.
Ngojea nikuache.
hapa hivi tunapost madude kama haya πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20240822_165121.jpg

nimeona unatafuta mwanya wa kuanza kuposti ajenda zako 😁😁😁.
pole sana.
 
kimbia... kama kawaida yako, usitatize watu.
umeshindwa kwenye food security, access and reliability of electricity, sasa unataka ucharazwe kwenye cost of living.
you have many more poor people in your country, you live on less than a dollar a day, kunywa maziwa kwenu ni luxury, alafu unataka kushindana na Mkenya? 😁😁 what a joke!
Kwenye food security nimekupa ushahidi wa mwisho na maelezo ya mwisho hukurudi tena.
Naona unataka kugeuza kibao.
Ulileta ripoti ya WFP kuwepo Tanzania mission yake inasema to improve food stability ila sio to provide food aid.
Tofautisha hivyo vitu viwili.
Nimekupa maelezo ukakimbia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bingwa wa ku twist mambo poleee.
Maziwa ni kitu cheap bongo.
Nipo Morogoro now kuna muda maziwa yanauzwa hadi 1000 tzsh kwa lita moja.
Je Kenya hilo linawezekana!??
Kalio wewe.
 
Kwenye food security nimekupa ushahidi wa mwisho na maelezo ya mwisho hukurudi tena.
Naona unataka kugeuza kibao.
Ulileta ripoti ya WFP kuwepo Tanzania mission yake inasema to improve food stability ila sio to provide food aid.
Tofautisha hivyo vitu viwili.
Nimekupa maelezo ukakimbia.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bingwa wa ku twist mambo poleee.
Maziwa ni kitu cheap bongo.
Nipo Morogoro now kuna muda maziwa yanauzwa hadi 1000 tzsh kwa lita moja.
Je Kenya hilo linawezekana!??
Kalio wewe.
nilikuuliza swali, ukaanza kuumauma meno, narudia tena, mulipokea msaada wa chakula? ndio au la?
lete bei ya maziwa kutoka supermarket inayojulikana, mm siishi kijijini kama ww.
 
Huko umeshashindwa hakuna ubishani hapo tena.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Unafananisha jointed railway na continous welded railway!?
Makalio wewe.
halafu railway yenyewe ni hii πŸ‘‡
20240621_155727.jpg

🀣🀣🀣 pambafu sana.
 
hawa watu wako nyuma sana. wanasherehekea vitu ambavyo tumekua navyo hadi tukavichoka karne hii πŸ˜πŸ‘‡
IMG_20240822_195035.jpg
 
nilikuuliza swali, ukaanza kuumauma meno, narudia tena, mulipokea msaada wa chakula? ndio au la?
lete bei ya maziwa kutoka supermarket inayojulikana, mm siishi kijijini kama ww.
Ona ulivyo mpumbavu.
Nilikujibu straight forward TANZANIA HATUPOKEI MSAADA WA CHAKULA NDIO MAANA HATUPO KATIKA LIST YA NCHI ZINAZOHITAJI MSAADA WA CHAKULA KUTOKA WFP NA FAO.
Na nilikuuliza ripoti ya WFP uliyoleta uliona sehemu imeandikwa TANZANIA RECEIVES FOOD AID?
Hukunijibu ukala bati.

Sawa subiri nikuletee hiyo bei elekezi,haijalishi mjini ama kijijini maisha nipopote.
 
halafu railway yenyewe ni hii πŸ‘‡
View attachment 3076634
🀣🀣🀣 pambafu sana.
Kwa akili zako unadhani wataalam hawajui kuhusu hilo!??
Hapo ni sehemu ambayo hurekebishika kiwepesi pia haina madhara kama hayo unayotaka kutuaminisha.
Karne hii kwanini mmejengewa reli ya SGR ambayo ni jointed rail!??
Yani hata narrow gauge yetu ni continous welded sio jointed kama SGR yenu.
 
Kwa akili zako unadhani wataalam hawajui kuhusu hilo!??
Hapo ni sehemu ambayo hurekebishika kiwepesi pia haina madhara kama hayo unayotaka kutuaminisha.
Karne hii kwanini mmejengewa reli ya SGR ambayo ni jointed rail!??
Yani hata narrow gauge yetu ni continous welded sio jointed kama SGR yenu.
Usiopoteze muda wako kujibizana na huyo jamaa😎
 
hawa watu wako nyuma sana. wanasherehekea vitu ambavyo tumekua navyo hadi tukavichoka karne hii πŸ˜πŸ‘‡
View attachment 3076638
Huwezi kufananisha utamu wa toyota corolla na toyota supra.
Sgr Kenya sawa na toyota corolla halafu sgr Tanzania sawa na Toyota supra.


Hayo ni Asas whole milk nusu lita ni 1500tzsh lita moja 3000tzsh.
Screenshot_2024-08-22-20-21-18-19_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Huwezi kufananisha utamu wa toyota corolla na toyota supra.
Sgr Kenya sawa na toyota corolla halafu sgr Tanzania sawa na Toyota supra.


Hayo ni Asas whole milk nusu lita ni 1500tzsh lita moja 3000tzsh.
View attachment 3076690
maziwa bei ghali hivyo kumbe ndio maana munakunywa chai rangi???
IMG_20240822_204817.jpg

here is Carrefour Supermarket πŸ‘‡
IMG_20240822_204615.jpg

IMG_20240822_204237.jpg

IMG_20240822_205609.jpg
 
Maziwa ghali kwenu sio kwetu.Hiyo bei everyone can afford
Hayo umetaka ya super market.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ona hii mbuzi,ila ukija kwa wafugaji kwa hiyo 53 ksh unapata lita moja.
lete hapa statistical data 😁😁 kwahio hata mimi nikikwambia kijijini kwetu napata lita moja kwa 20ksh, utaniamini???
nilikutahadharisha kuja na kauli kama hizi πŸ‘‡πŸ‘‡
vitu vinajionesha
 
🀣🀣🀣🀣.
Mbongo mbongo tuuu.

Humu jf mnatamba utafikili TZ maisha kama Singapore vile au nepal.
Kumbe wala. πŸ˜€πŸ˜€
🀣🀣🀣
🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom