Mzee ES, Mzeeshughuli Bwana,
Good time to you!
Kwakweli mnavyoelezea hayo maisha ya ndani ya hawa viogozi wetu, ndo hali halisi. Watakaopinga na wakatae, Lakini Vitabu vya meneno ya Mungu vyasema : Ukishindwa kuitunza kaya yako vyema, utawezaje utakapowewa jukumu la kuongoza jamii kubwa? Ni aibu kusikia viongozi kama hao wa juu wa nchi ni Mafuska! sasa kwanini wanajivuga kuwatimua Mcd Manzese? Mbona wenyewe wanakulana?
Hayo mengine ya kiutawala kwakweli, Tz tumekwisha, yaani hapa ni chukua chako mapema tuu!
_____________
"U Can't Change The Nature"
Good time to you!
Kwakweli mnavyoelezea hayo maisha ya ndani ya hawa viogozi wetu, ndo hali halisi. Watakaopinga na wakatae, Lakini Vitabu vya meneno ya Mungu vyasema : Ukishindwa kuitunza kaya yako vyema, utawezaje utakapowewa jukumu la kuongoza jamii kubwa? Ni aibu kusikia viongozi kama hao wa juu wa nchi ni Mafuska! sasa kwanini wanajivuga kuwatimua Mcd Manzese? Mbona wenyewe wanakulana?
Hayo mengine ya kiutawala kwakweli, Tz tumekwisha, yaani hapa ni chukua chako mapema tuu!
_____________
"U Can't Change The Nature"