TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Nani alisema hataweza kumpiga Cotto? Huyu Cotto ni damaged goods tokea avurugwe na Antonio Margarito. Oddmakers wote walikuwa upande wa Pacman kushinda. Sasa hao watu wote waliosema hatoweza kumpiga Cotto ni kina nani hao?
nadhani huko aliko jamaa... ila Cotto leo kachakazwa, alianza na sura ya mtu, raundi ya sita ikawa kama ya nyani, kufika twelve he looked like kitimoto aisee
Tough money!!