Cougar=Sugarmummy: Why date her of all the women?

Cougar=Sugarmummy: Why date her of all the women?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
[h=1]Dating cougars[/h]
Zipo sababu 10 za kwa nini vijana wengi wanatumbukia kwenye mahaba feki na cougars............zikiwemo:-

1) Uvivu wa kujipatia kipato kwa jasho lao wenyewe.....

2) Kupenda dezo na kukwepa dhiki na karaha za umasikini......

3) Kutojua mbinu za kuwatongoza wale wa saizi yao kwa baadhi yao.............

4) Kutojali jamii inawaonaje katika mahusiano na mama zao kiumri ili mradi tu watimize mradi wao........

5) Kukubali na kuvumilia kujisalimisha kwenye mfumo jike....................

6) Utetezi hadaa wa ya kuwa wao wenyewe wanapendana mara nyingi huwa ni danganya toto na ni kisingizio cha kuhalalisha mahusiano husika..................

7) "Cougar" huwa ana kiburi cha pesa na huitumia nafasi hiyo kuthibitisha ya kuwa yuko juu ya mfumo dume ambao huona umemyanyasa kiasi cha kutosha.....................

8) Tatizo la "Cougar" na mwathirika wake ni kuwa huwa hawatosheki na walichonacho na hivyo kila mmoja wao kuhangaika kutafuta mapungufu kwenye mahusiano yao...................hivyo kujikuta wana wapenzi zaidi ya mmoja.........

9) Wengi kwenye mahusianohaya huambukizana magonjwa ya zinaa kama vila miwaya, kaswsende, kisonono, saratani ya shingo ya uzazi n.k..............

10) Furaha wanayodai kuwa wameipata hujionyesha kwenye kadamnasi tu lakini wakiwa faragha huwa ni wapweke na kugubikwa na majonzi ya kuasi asilia.......................
 
Ni Aibu kubwa kwa kijana kuwa na mahusiano na sugar mummy.
Hivi upendo anaodai wanapendana sijui unatoka wapi? How can someone loves his mummy for sexual relationship? Huu ni uongo kabisa. Ni pesa tu wanafata.
 
Wanao angukia kwa ma cougar ni sawa sawa na wale wanao angukia kwa ma sugar daddy hakuna tofouti.

Kila moja anatafuta vya bure.
 
Ni Aibu kubwa kwa kijana kuwa na mahusiano na sugar mummy.
Hivi upendo anaodai wanapendana sijui unatoka wapi? How can someone loves his mummy for sexual relationship? Huu ni uongo kabisa. Ni pesa tu wanafata.
vijana wa siku hizi wengi ovyo kabisa ni aibu kwa kijana wa kiume kuishi kwa kuendekeza tamaa mbele
hata wakisema wadate mabinti wa umri wao wanataka wale wenye pesa ...ndo maana utasikia mimi natafuta binti awe na kazi au biashara...hawataki majukumu..hawana upendo wa kujitoa..shame on them..
kijana mdogo anamaliza chuo ajira ya kwanza anataka kumiliki nyumba,apartment masaki bata kila siku na washkaji..kwa mshahara gani wa jk?
teh ndo maana wengine wakikosa mijimama wanaolewa na wanaume wenzao mchana kweupeee
MUNGU atusaidie
 
Dating cougars


Zipo sababu 10 za kwa nini vijana wengi wanatumbukia kwenye mahaba feki na cougars............zikiwemo:-

1) Uvivu wa kujipatia kipato kwa jasho lao wenyewe.....

2) Kupenda dezo na kukwepa dhiki na karaha za umasikini......

3) Kutojua mbinu za kuwatongoza wale wa saizi yao kwa baadhi yao.............

4) Kutojali jamii inawaonaje katika mahusiano na mama zao kiumri ili mradi tu watimize mradi wao........

5) Kukubali na kuvumilia kujisalimisha kwenye mfumo jike....................

6) Utetezi hadaa wa ya kuwa wao wenyewe wanapendana mara nyingi huwa ni danganya toto na ni kisingizio cha kuhalalisha mahusiano husika..................

7) "Cougar" huwa ana kiburi cha pesa na huitumia nafasi hiyo kuthibitisha ya kuwa yuko juu ya mfumo dume ambao huona umemyanyasa kiasi cha kutosha.....................

8) Tatizo la "Cougar" na mwathirika wake ni kuwa huwa hawatosheki na walichonacho na hivyo kila mmoja wao kuhangaika kutafuta mapungufu kwenye mahusiano yao...................hivyo kujikuta wana wapenzi zaidi ya mmoja.........

9) Wengi kwenye mahusianohaya huambukizana magonjwa ya zinaa kama vila miwaya, kaswsende, kisonono, saratani ya shingo ya uzazi n.k..............

10) Furaha wanayodai kuwa wameipata hujionyesha kwenye kadamnasi tu lakini wakiwa faragha huwa ni wapweke na kugubikwa na majonzi ya kuasi asilia.......................

Mkuu hii ya mwisho umeiweka kizoefu kidogo umewahi ku-experience?
 
Kwanza kwanini umeita mapenzi fake?Kwani hakuna mahusiano imara na safi ya aina hii?Ki ukweli kila jambo lina pande mbili.Sababu ulizotaja ni kweli zipo ila sio kwa kila kijana mwenye mahusiano na mwanamke mtu mzima.Hata mimi binafsi natamani niwe na mwanamke mtu mzima maana nimechoshwa na upuuzi na usumbufu wa hawa mabinti(niko serious).Ukweli ulio wazi natamani mwanamke nitakaekua na mahusiano nae ni bora akanizidi umri,pilika na fujo za mabinti zimeshanishinda.Kwanza wanawake hawa hawana longolongo,akikuambia hana nafasi jua anamaanisha na akikuambia anayo jua anamaanisha.Kwa mabinti ni hovyo sana!
 
Ni Aibu kubwa kwa kijana kuwa na mahusiano na sugar mummy.
Hivi upendo anaodai wanapendana sijui unatoka wapi? How can someone loves his mummy for sexual relationship? Huu ni uongo kabisa. Ni pesa tu wanafata.

Kwako mapenzi ni nini?Au ni kitu gani?
 
Kwanza kwanini umeita mapenzi fake?Kwani hakuna mahusiano imara na safi ya aina hii?Ki ukweli kila jambo lina pande mbili.Sababu ulizotaja ni kweli zipo ila sio kwa kila kijana mwenye mahusiano na mwanamke mtu mzima.Hata mimi binafsi natamani niwe na mwanamke mtu mzima maana nimechoshwa na upuuzi na usumbufu wa hawa mabinti(niko serious).Ukweli ulio wazi natamani mwanamke nitakaekua na mahusiano nae ni bora akanizidi umri,pilika na fujo za mabinti zimeshanishinda.Kwanza wanawake hawa hawana longolongo,akikuambia hana nafasi jua anamaanisha na akikuambia anayo jua anamaanisha.Kwa mabinti ni hovyo sana!

Eiyer be serious..............utampenda cougar ambaye hana chapaa?
 
Last edited by a moderator:
vijana wa siku hizi wengi ovyo kabisa ni aibu kwa kijana wa kiume kuishi kwa kuendekeza tamaa mbele
hata wakisema wadate mabinti wa umri wao wanataka wale wenye pesa ...ndo maana utasikia mimi natafuta binti awe na kazi au biashara...hawataki majukumu..hawana upendo wa kujitoa..shame on them..
kijana mdogo anamaliza chuo ajira ya kwanza anataka kumiliki nyumba,apartment masaki bata kila siku na washkaji..kwa mshahara gani wa jk?
teh ndo maana wengine wakikosa mijimama wanaolewa na wanaume wenzao mchana kweupeee

MUNGU atusaidie

Wanataka maisha ya haraka haraka tena ya kifahari.
 
Mkuu hii ya mwisho umeiweka kizoefu kidogo umewahi ku-experience?
[MENTION]
Mvaa Tai[/MENTION] ni utafiti wa muda mrefu...................sihusiki binafsi............
 
Smile,mabinti nyie hovyo kabisa,usumbufu kila kukicha,mara karolaiti,mara disco mara sijui nini,bora nitulie zangu na sugar momy asie na makuu!
 
Wanataka maisha ya haraka haraka tena ya kifahari.

Remmy.......kwa gharama ya uhai wao na furaha yao ya kudumu........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom