Cougar=Sugarmummy: Why date her of all the women?

umeona eeeh huu mji usipokuwa mjanja utapata limtu utakuwa unalilea hadi chupi unalinunulia...

Smile chupi ukimnumnulia unakuwa umejivika mwenyewe maana wakati huo mnakuwa mmekuwa mwili mmoja.........
 
Last edited by a moderator:
ruta upo baba?? mzima wewe?? ngoja niwe mpitaji leo hapa!

cacico furahia ninakutetea vijana waache kukukwepa na kukimbilia vya dezo vyenye gharama ya kutisha.........
 
Last edited by a moderator:

Elizabeth Dominic for some reason nature has conspired to protect men to be the vogue of all ages............
 
Last edited by a moderator:
namba 4, 5 na 7 mpaka 10 sio sababu ni matokeo

dandabo matokeo huwa ndiyo sababu ya kukuvuta kule usikotaka kwenda..............
 
Last edited by a moderator:

Kyaiyembe usisahau duniani tuliumbwa kuwa wawili wawili na kwa shida zaidi ya hapo.............kwahiyo hata huyo mdada anyeangalia pochi pia hujipima mipaka yake na mwishowe hukubaliana na khali ilivyojitokeza........................kwake.............
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmmmmmmh! Kama ni pesa kwani usitafute za kwako?
[MENTION]
ruttashobolwa[/MENTION] uvivu wa kukanyaga umande ndiyo chimbuko la huu ulimbukeni..........
 
Hujui upendo wewe,unazungumzia mapenzi,na hata mapenzi yenyewe hayako hivyo!

Unajua watu hushindwa kutofautisha upendo na kutamani. Kama unauzungumzia upendo wa dhati kabisa aliouweka Mungu, basi tuseme Mungu hawezi na haruhusu kijana kumpenda sugarmumy, ameweka heshima, na staha. Hii ni tamaa tu na mihemko ya mwili tu, au tuite lust Kama aliyokuwa nayo Amnoni mwana wa Daudi kwa dada yake Tamari, yaani Hadi aliugua mpaka kitandani, vile alivo mlala tu dadake, akamchukia kwa machukio makuu, hii ikaleta upanga kwenye familia Yao.
Basi Kama ni upendo basi kuwe na staha kuwa huyu si wa saizi yangu, ngoja nimpende Kama mamangu. Si lazima vyote tuvipendavyo tuwe navyo.
 
 
Elizabeth Dominic for some reason nature has conspired to protect men to be the vogue of all ages............
Tofauti ya miaka mingapi tunaongelea for a woman to be called a cougar 2, 3, 4, 10, 20 maybe? Kwangu sitapenda kuwa mama kwa kijana i cant stand naivete.................lakini my concern is for a girl ambaye yuko in love na mwanaume mkubwa will always be labelled a gold digger.
 
Huko sawa Mkuu,
Mara nyingi makosa yanakuwa yameishafanyika (hii ni kimtazamo)
Lakini kama huyu binti akiolewa na kibabu kwa malengo ya ndoa inakuwa poa!. na kwa mvulana hivyo hivyo.
Au unasemaje Mkuu.
 
Rutashubanyuma hili jambo umeliongea na lipo sana
Sio kwamba ni jambo la kuficha ila miongoni mwa vijana limeenea sana
Na kinachotisha ni kuwa wengine wanatembea na wamama ambao ni size ya mama zao wazazi na wala hawaoni ajabu
 
Last edited by a moderator:
 
 
Mahmetkid tufanyaje kuwasaidia?

Mkuu hii tabia inatakiwa kukomeshwa kuanzia kwenye vizazi vyetu, kwani hii tabia inaanzia toka utotoni na jinsi unavyomlea mtoto katika maisha yaliyo tegemezi katika maisha yake siku zote atakuwa tegemezi tu, hadi kwa mpenzi atakayempata siku za baadae hata hasipokuwa sugarmummy.

Tuwape watoto wetu makuzi yaliyo mema na yatakayomuwezesha kujitegemea muda wote.
 
Hivi sugar mammy (cougar) ana sugar dady wanaanzia na umri gani?

So far mtu kaitwa Cougar huyo tayari ni saa 10 jioni na kuendelea obviuos watakuwa wana pesa za kuwadanganya vijana-poa kiukweli hapo hakuna chembe ya penzi ni mwendo wa kuchunana tu hapo na kama ana mume jiandae kutwangwa risasi ya kiuno...
 
Rutashubanyuma hili jambo umeliongea na lipo sana
Sio kwamba ni jambo la kuficha ila miongoni mwa vijana limeenea sana
Na kinachotisha ni kuwa wengine wanatembea na wamama ambao ni size ya mama zao wazazi na wala hawaoni ajabu

Mr Rocky yaelekea ni kufa kwa sikio ambako hakusikii dawa............
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…