Could Dre be over-credited??

Could Dre be over-credited??

Mkuu unaweza kuwa kweli kutokana na mtazamo wako, lakini you should know that this world ain't fair. Mimi na wewe hakuna mwenye hakika kama kwenye stil Dre hata scott alipewa idea na junk fella flani pale studo., lakini kwa kuwa yeye jina lake linauza ndio ikawa hiyvo.
Sometimes not everything mataz, just a Brand that mataz. Dre is a Brand himself.
 
Inaonekana ni mawazo yako binafsi na wala hakuna strong points za ku backup your arguments....anyways who cares, the guy is a millionaire thats all counts ......where is that Jimmy boy?
 
Huyu scott n balaa sema aliniacha hoi alikuwa ana jibizana na lamar instagram mwaka jana et anamuuliza why are you using my beats akapanic kabisa wakati lilikuwa jambo dogo

Sijui kama kaacha ngada huyu jamaa....ila ni moja ya producer ambaye namkubali sana
 
"Am about to lose my life
You have gone for soo long,..........

I need a Dr, show me a Dr ,Dr ,to bring me back to life"

Go back and listen Em in that song then come back.
 
"Am about to lose my life
You have gone for soo long,..........

I need a Dr, show me a Dr ,Dr ,to bring me back to life"

Go back and listen Em in that song then come back.

Em paid homage to Dr Dre katika nyimbo zake nyingi tu....sijui hizi stori za Jimmy(?) Ndugu yangu Paulo kazitoa wapi!
 
Em paid homage to Dr Dre katika nyimbo zake nyingi tu....sijui hizi stori za Jimmy(?) Ndugu yangu Paulo kazitoa wapi!
Jimmy ni mmoja wa ma sound engineer wa aftermath. Jamaa ni genius.
 
Huu uzi unatia tu hasira sasa. Word of advice, jifunzeni kusoma na kuelewa. Na kama hujui, kaa tu kimya.
 
Huu uzi unatia tu hasira sasa. Word of advice, jifunzeni kusoma na kuelewa. Na kama hujui, kaa tu kimya.
Quit whining ka mtoto mdogo asiyepewa attention. Uzi ni mrefu sana wengine na mada sio nzito thats why wengi tumesoma kichwa cha habari tuka-scan fasta fasta na kuchangia...
 
Unanifurahishaga na thread zako za kuzua utata...inaonekana unapenda kubishana sana
 
Huu uzi ni mzuri sana kama ungeletwa kwa lugha ya Kiswahili! Watu hawajaelewa ngeli hapo juu ndiyo maana wanajadili mambo mengine ambayo yapo nje ya mada!
 
Paulo Sergio De Souz, you can`t spread credit to everyone, it wouldn`t make sense. There must be somebody to take it for the team. After all Dre didn`t call a press conference and give all the credit to himself, it`s just a perception from Media and other people. Even Bill Gates and Steve Jobs are given way too much credit for stuff done by other people. It is what it is, a matter of who`s at the power position.

Scott Storch said during an interview on Vlad TV that "Still Dre" was a co-production between him and Dre and actually Jay Z wrote a "reference track" for the song and not actual lyrics.

Jimmy Iovine may be the one who conceived the idea of "Beats by Dre" but its Dre`s name on those headphones that moves units and that is all that matters. If the headphones were called "Beats by Iovine" I`m sure nobody would have cared.
 
Paulo Sergio De Souz, you can`t spread credit to everyone, it wouldn`t make sense. There must be somebody to take it for the team. After all Dre didn`t call a press conference and give all the credit to himself, it`s just a perception from Media and other people. Even Bill Gates and Steve Jobs are given way too much credit for stuff done by other people. It is what it is, a matter of who`s at the power position.

Scott Storch said during an interview on Vlad TV that "Still Dre" was a co-production between him and Dre and actually Jay Z wrote a "reference track" for the song and not actual lyrics.

Jimmy Iovine may be the one who conceived the idea of "Beats by Dre" but its Dre`s name on those headphones that moves units and that is all that matters. If the headphones were called "Beats by Iovine" I`m sure nobody would have cared.

I see where you're coming from man, and it makes a lotta sense. I considered all that when I was writing, that's why I didn't really take away his, but just raising a discussion. Probably none of it all coulda been as big without Dre, but you could also argue the same for a few others involved as well.

It's always good debating with people that really know !sh, man. Stay dope.
 
Back
Top Bottom