Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa ofisi yetu nyeti, hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila ma DGIS ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3!, its not normal, haijapata kutokea! what is it exactly or what could it be?.

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?

Public servants wote ni watumishi wetu sisi wananchi, ni sisi wananchi ndio tunawalipa mishahara yao kutokana na kodi zetu, hivyo tuna haki zote kuuliza au kuelezwa kuhusu utendaji wao, ikiwemo sababu za kutumbuliwa kwao, hivyo nilishauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
 
Nadhani suala hapa ni wakati na matarajio ya watu.

Kwamba, kwa siasa za sasa jinsi zilivyo, utendaji bora husemekana kupimwa kwa idadi ya moto na aibu (fire and hire) zinazotokea.

Hii haina tofauti sana na kuutathiminisha uongozi bora kwa kigezo cha idadi za safari za nje.
 
Amini nakuambia Paskali; hata wewe ukitaka unaowachagua wafanye kama utakavyo wewe na hutastahimili kufanya kinyume chake basi kila wakati utakuwa unateua na kutengua kwa sababu Watanzania tuna matatizo sana! Yule uliyemtua yeye kama yeye anaweza kuwa yupo vizuri au anaweza kulazimika awe vizuri kwa sababu anafahamu ameteuliwa leo lakini kesho anaweza kutenguliwa!

Je, wale walio chini yake na wenyewe wanaweza kuwajibika kwa hofu na wao leo wapo na kesho wanaweza wasiwepo? Kwavile huku chini probability ya "Hire and Fire" ni ndogo sana, hiyo ni fursa kwa wazembe kuendeleza uzembe wao kwa sababu ni rahisi sana kutimuwa hata Katibu Mkuu Kiongozi kuliko kutimua Mtumishi wa kawaida wa umma!
 
Mimi naweza kusema yafuatayo kizalendo kabisaa!

1. Tuna changamoto kwenye mifumo yetu ya kuamini kwamba individuals as individuals wanaweza kutupa, kudeliver kile tunachotamani. Yaani tunadhani management na CEO wanaweza kufanya taasisi ikafanya vizuri katika majukumu yake. Kumbe kinachotakiwa kufanywa na kutengeneza mfumo wa chombo ili kila dereva aweze kukimudu.
2. Tunaamini sana firing and hiring. Tunatafuta malaika? Kwanini tusitatue tatizo badala ya kutatua watu?
3. TISS imekuwa kama TRA, TTCL, DART, TANESCO, NCAA, Polisi Tz na Wizara ya Maliasili na Utalii. It is either becoming too big to manage or something else.
4. Hakuna tatizo kwenye vetting. Ni vetting gani kuubwa tungehitaji wa watumishi wa idara wa Muda mrefu kama Balozi Siwa na wengine walioondoka? Vetting kubwa ni kwa mawaziri ambao hata Uraia wao sometimes unakuwa na mshkeli.
5. Tunachukulia poa watu wa chini kabisa tukiamini kila wakati tatizo ni CEO na menejimenti. Watendaji huku chini wakoje? Wako na wewe?
 
Tatizo ni rais.hana uwezo wa kuongoza.akipewa ushauri wa kusimamia maliasili zetu ananuna na kukasirika na kuanza kuwafukuza. Anataka ushauri unaompendeza yeye kama ule wa kuuza Kila kitu Kwa wageni.madhara ya mtu kupata urais pasipo kutarajia (kurithishwa Kwa katiba au mserereko) ndiyo haya sasa.toka aanze kubadili matokeo Gani Sasa tunayofaidika nayo zaidi ya kuua uchumi wetu.
 
Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za ofisi nyeti ile, hazitaonekana kama early signs of incompetence on part of the appointing authority?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, what is it exactly?.

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?.

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
Who vets the vetters?
 
Back
Top Bottom