Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mfumo ni mbaya zaidi ni wajinga haswaMwisho umemalizia kama kada mwandamizi mkuu, kwadhati kabisa hii sisiemu kwa miaka yote waliyoongoza ukadhani watabadilika sio kweli na issue sio individual yeye anamezwa na mfumo na hakuna anachoweza badili kwa utashi tunapata vipi kigugumizi kuruhusu fikra mpya tuone nao wana kipi kwa Taifa letu hizi akili zilizotufikisha hapa kamwe haziwezi kututoa majina yale yale sura zilezile tuna recycle kana kwamba hakuna watu wanaoweza kuongoza hata huko ndani ya sisiemu mfumo ungekua unaruhusu tungeona mabadiliko lakini huko kukosoana ni dhambi kubwa yausaliti maslahi ya chama yanawekwa mbele kuliko maslahi ya Taifa.
Hoja yako ni ipi?!Pengine hujui maana ya uongozi?
Nilishauri, mtu akitumbuliwa, tuelezwe sababu, na kama mtu ametumbuliwa kwa kupumzishwa tuu, pia tuelezwe ili public isiwaone kila mtumbuliwa ni jipu.Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing
Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila wateuliwa ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.
Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.
Paskali
Cc. britanicca
kazi inaendelea News Alert: - Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa RaisWanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing
Public servants wote ni watumishi wetu sisi wananchi, ni sisi wananchi ndio tunawalipa mishahara yao kutokana na kodi zetu, hivyo tuna haki zote kuuliza au kuelezwa kuhusu utendaji wao, ikiwemo sababu za kutumbuliwa kwao, hivyo nilishauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.
Paskali
Cc. britanicca
Naunga mkono hoja。Hapa namzungumzia zaidi Professor Palamagamba Kabudi. Huyu nguli wa sheria amekuwa ni mtu wa kuteuliwa na kutenguliwa au kuhamishwa na kurudishwa alikotoka na kuhamishwa tena kwenda kwingineko.
Professor aliteuliwa kuwa waziri wa sheria kabla ya kuhamishwa na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi. Baadaye Professor Kabudi aliachwa na kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kabla ya kuja kurudishwa hvi majuzi tu kuwa waziri wa sheria na katiba.
Sasa ameondolewa wizara ya sheria ambayo ndio fani yake kitaaluma na amepelekwa wizara ya habari na utamaduni.
Tulifikiri amerudishwa mahali pake kumbe sio hivyo, nani anajua prof atahamishiwa wizara gani mwakani?
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Kwa maoni yangu teuzi za namna hii zinasema mengi ikiwa na pamoja na wafanya teuzi kutojua kwanini wanamteua mtu flani, kukosa mipango mkakati, kukurupuka au hata kutothamini heshima ya mtu.
Kama mtu anafaa, anafaa, kama hafai, hafai.
Nawashauri wateuliwa wa nchi hii sio lazima ukubali uteuzi kila wakati, unaweza pia kukataa.
Our principal are not what you know ,but whom you know .Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.
Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa ofisi yetu nyeti, hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila ma DGIS ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.
Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3!, its not normal, haijapata kutokea! what is it exactly or what could it be?.
Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?
Public servants wote ni watumishi wetu sisi wananchi, ni sisi wananchi ndio tunawalipa mishahara yao kutokana na kodi zetu, hivyo tuna haki zote kuuliza au kuelezwa kuhusu utendaji wao, ikiwemo sababu za kutumbuliwa kwao, hivyo nilishauri Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.
Paskali
Cc. britanicca