Could this be the best crib in E.A?

huyu hamzidi Diamond Le Platinum.. Hata hako ka'mansion hakafikii mansion ya Diamond!
 

Any person in his rightful mind akisoma unachokiandika atajua tu maishi hayaendi poa kwa upande wako..hahahasaa

Sasa wewe unayejua mambo tuambie kwa facts and evidence..sio matusi. Jifunze ku argue kutoka kwa jMali ....
 
Last edited by a moderator:
Any person in his rightful mind akisoma unachokiandika atajua tu maishi hayaendi poa kwa upande wako..hahahasaa

Sasa wewe unayejua mambo tuambie kwa facts and evidence..sio matusi. Jifunze ku argue kutoka kwa jMali ....

Wewe na huyo mburula mwenzio Jmali siwezi kujifunza lolote toka kwenu kwani nyie ni watu wa kushobokea watu wanaojitapa wana pesa kumbe ni ubishoo tu!! At least mwenzio hilo amelitambua kwani kuna mahala amewaorodhesha hao mnaowashokea kuwa wengi wao ni feki!!
 

dogo tuheshimiane onyesha wapi nimeshobokea yoyote yule ili nifiti cheo chako cha umburula ulichonipa. Ukishindwa kufanya hivyo utathibitisha kuwa una stress za maisha kama alivyosema serio
 
Last edited by a moderator:
"Huyu le bilionea ni akili kubwaaz, nilimpokea mwenyewe new york 1998, alilala kwangu miezi sita you know? " :becky:

Haya mburula unataka ushahidi gani zaidi ya huu wa kushobokea hao mabilionea feki?
 

Mkuu, maisha magumu uliyo nayo jilaumu mwenyewe..sio kutupumzikia huku...
Ku appreciate hustle za mtu sio kwamba tunashobokea, bali unapata inspiration ili ukaze buti.... Kama dogo au baba yake kaiba, lete ushahidi, sio matusi.....
 
Huyu mchizi ana stress za maisha...kisa ana key board na anajua kusoma imekuwa shida


Nyie mburula, huo unga mnaouza na kubwia ndio utawaletea nyie uchizi kwa tamaa ya kutajirika haraka haraka!!
 
Nyie mburula, huo unga mnaouza na kubwia ndio utawaletea nyie uchizi kwa tamaa ya kutajirika haraka haraka!!

Hahauaaa.. Man, that gadamn hard life you are having, blame it on yourself.. Hahahaaa..
 
Hahauaaa.. Man, that gadamn hard life you are having, blame it on yourself.. Hahahaaa..


If you think being a drug pusher and addict is leading a good life then you are damned!!
 
If you think being a drug pusher and addict is leading a good life then you are damned!!
get a life, boss, and we shall appreciate. Yapping on this forum wont do you good.
 
get a life, boss, and we shall appreciate. Yapping on this forum wont do you good.

As far as I am concerned ,I have a life unlike you drug pushers who are always worried as to what would happen to you next!!
 
As far as I am concerned ,I have a life unlike you drug pushers who are always worried as to what would happen to you next!!

You dont have a life, thats why whoever is better than you is a drug pusher....shame upon you..
 
kiongozi, this boy is the son of one Hajji Ssegawa... baba yake yuko live and kicking...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…