bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Yuko vizuri, yes, Best crib? Hell no. Kuna sehemu Bongo hiyo ni nyumba ya mlinzi tu!
Sustainability ndiyo tatizo, na je ana business inayoeleweka au ndiyo hao akina maunga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko vizuri, yes, Best crib? Hell no. Kuna sehemu Bongo hiyo ni nyumba ya mlinzi tu!
Hii inafaa uchagani, unafuga na mbuzi humo humo.

Michael ezra: Huyu bwana hajulikani hata alikuwa anafanya biashara gani, aliibuka tu from nowhere akaanza kuandikwa kwenye vyombo vya habari eti anataka kununua Leeds United ya uingereza kwa zaidi ya $100 milioni, mara anaandikwa anataka kununua PRIVATE Airbus, na makeke mengine kama hayo. Alikuwa anatanua tu kwa kununua Lamborghini, kufadhili timu za mpira za Uganda n.k lakini kwa fedha ambazo huku kwetu hata kina papaa msofe na King 'msukuma' wanazo.
Baadae mashtaka ndio yakaanza kumuandama, mali zake uganda zikapigwa mnada kwa kutolipa kodi ndogo tu ya $500,00, Kenya nako alishtakiwa kwa kudaiwa hela za kitoto kweli. Mtu anayejitamba kuwa na mali za $1.5bilion Dubai anakamatwaje kwa kudaiwa $200,000? Iligundulika kwenye makesi yake kuwa jamaa alikuwa anakopa kwa kutumia image yake feki kuwa ni successful business man halafu ile hela ndio analia bata! Mind you mpaka sasa hivi NOBODY KNOWS biashara hata moja huyu bwana anayofanya!
View attachment 257944
In September 2010, Ezra called a press briefing at Emin Pasha, a Kampala uptown hotel in Nakasero, displaying stacks of bundled dollars as if to dispel claims he had run broke.
habari zingine from the same source above:
Ezra was arrested in Nairobi, Kenya, last week and charged with drawing a bad cheque worth $200,000 (Shs 480 million) to a Kenyan company, SMR Ltd, in 2009 with fraudulent intentions.
He allegedly drew the cheque on October 20, 2009 at Ecobank Towers on Muindi Mbingu Street in Nairobi, knowing that his account had insufficient funds. Ezra allegedly disappeared after drawing the cheque, which prompted the company to drag him to court.
He obtained bail on Monday but remained in custody after failing to raise the required Shs 116m immediately. Judith Nabakooba, the police spokeswoman, told The Observer on Tuesday that Ugandan authorities were closely monitoring the case.
In 2010, Uganda Revenue Authority asked court to issue a travel ban and a freeze on Ezra's known assets, claiming he had failed to remit more than Shs1.5b (about $500,000) in taxes.
The money, URA told this reporter, has now accumulated to Shs3.4b and the tax collectors have through his lawyers failed to force the businessman to pay the money.
In 1999, Ezra was arrested and accused of blackmail, extortion of US$50,000 and impersonating a military intelligence officer. He was found in possession of a Directorate of Military Intelligence (DMI) Identity Card and a letter from the then Chieftaincy of Military Intelligence (CMI) head, Henry Tumukunde introducing him as a Special Presidential Agent. Police at the time said both documents were forged. He was charged at Buganda Road court where he pleaded not guilty to the charges. He was later released on bail, was asked to deposit his passport and his sureties deposited Shs1m in cash. It was not possible to establish who the sureties were by the time of filing this story. Nothing was heard of him after thisSimilarly in 1999, Ezra was charged before Buganda Road Court over three counts of impersonation, demanding property with menaces and forgery. He was subsequently found guilty by Justice Catherine Bamugemereire and ordered to pay a fine of Shs100,000 or serve a jail term of one year in Luzira prison. However, Ezra secured his freedom by paying the fine.
in February 2004, he shocked the world after the BBC reported the Ugandan businessman as having placed a bid to snatch up the then cash-strapped Premiership side – Leeds United, an English club.Angalia what it is said about his bid to buy leeds united:
But it was his £60 million audacious bid to buy Leeds United, a British soccer club that had gone bankrupt, that attracted international attention and scrutiny. In the end, the deal did not materialise, amidst suspicion that Ezra's bid was aimed at drawing publicity because it was highly doubtable that he had that sort of money.
source: Flamboyant Michael Ezra subdued, at last
In 1999, Ezra was arrested and accused of blackmail, extortion of US$50,000 and impersonating a military intelligence officer. He was found in possession of a Directorate of Military Intelligence (DMI) Identity Card and a letter from the then Chieftaincy of Military Intelligence (CMI) head, Henry Tumukunde introducing him as a Special Presidential Agent. Police at the time said both documents were forged. He was charged at Buganda Road court where he pleaded not guilty to the charges. He was later released on bail, was asked to deposit his passport and his sureties deposited Shs1m in cash. It was not possible to establish who the sureties were by the time of filing this story. Nothing was heard of him after this
Michael Ezra- the man behind the mystery - National
Dont forget that the Observer, Redpepper and Blackmamba ni magazeti ya udaku kama ya Shigongo...
Hivi serikali inakudai vipi kodi kama haijui unafanya biashara gani?
Mkuu, lakini hizo zilikua ni accusations tu na aliachiwa due to lack of proof...
"The impression created was that the treatment was conducted over a period of time. However, there are no records to support the claims or evidence that he was treated by the complainant," said Mr Okelo. On the issue of the bouncing cheque, Mr Okelo ruled that the prosecution did not provide known specimens of the accused handwritings and also failed to call any documents examiners to check if indeed he was the person who signed the cheque. This was the second time Mr Muyoowa was being acquitted by a Kenyan court over allegations of issuing bad cheques. In February 2012, he was acquitted after the magistrate found that there was no evidence to support claims he issued a bad cheque worth Sh150,000 to Scholastica Adhiambo Konjaro as payment for airtime credit.
BREAKING… MIKE EZRA RELEASED | UGFix.com
Mkuu hapo inaelekea hujalielewa somo...
Mkuu hapo inaelekea hujalielewa somo...
Somo nimelielewa sana ila nyie washobokea matajiri mnadhani huyo mwenzenu ana akili sana kiasi kwamba akiwa na miaka 30 ameweza kukusanya ukwasi mkubwa hivyo!! Mimi nawatahadhalisha nyie mnaopenda short cut kuwa huyo mwenzenu amerithi hizo pesa toka kwa marehemu baba yake aliyetuibia kwa kuifilisi GREENLAND benki na pia kule benki kuu ya Uganda alipokuwa gavana!! Sasa nisichoelewa ni kitu gani nyie mburula!!! Unless mniambie sio mtoto wa Marehemu Suleiman Kiggundu!!
What shows ni mtoto wa Dr Kiggundu...? Just the name and riches?
Appreciate one's hustles, hata kama karidhi, he is managing the riches well..
Wewe mburula hata kama ana manage hela za wizi alizorithi vizuri hiyo isiwe motisha ya nyie mburula kuwa wizi wa baba zenu utawafikisha pazuri!! Hao wa aina yake mwisho wao ni mfupi sana!! History will judge me rightly!.
Matusi ya nini sasa? Hahahaaaa.. Inaelekea una stress za maisha wewe si bure..
Mbona hujatuhakikishia kwamba ni mtoto wa Dr Kiggundu?
Leta na evidence kwamba Kiggundu aliiba pesa za greenland bank.. Hahaaa.