Zikiwa zimebakia siku chache kufikia uchaguzi mkuu ningewaomba viongozi wote wanaogombea URAIS kuacha siasa za majitaka na badala yake kuzungumzia vision yao ktk Tanzania ya kesho ktk maswala nyeti ya Utawala.
Nimegundua kwamba hizi siasa za majigambo are little more than just a pursuit of primitive accumulation na hazitaweza kuwasaidia wananchi wala taifa letu zaidi ya ahadi hewa ikiwa viongozi wetu hawana vision inayojenga ramani ya msingi wa ahadi hizo.
Ni wajibu wetu wanachi kuwauliza viongozi wetu maswali magumu kuliko kuendelea kusikiliza ahadi zao kwani tunachoweza kumtambua mbwa mwitu ktk kundi la kondoo sii kwa ngozi yake, umbo lake wala miguu yake bali malengo yake kuingia ktk zizi..
Tanzania tunahitaji visionary leadership. Kuahidiwa shule na Afya bure au kutujengea mabarabara, madaraja, na hata miji mipya haiwezi kuwa central of attraction kwa wananchi ikiwa vitu hivyo pekee havina malengo yatakayo boresha zaidi maisha na maendeleo ya nchi yetu. Tunahitaji zaidi ya ahadi, tunahitaji vision zao ktk ujenzi wa dira maendeleo yetu.
Tunakumbuka rais wetu Kikwete aliwahi kuulizwa swali kwa nini Tanzania ni maskini? na kama sikosei alisema hata yeye hajui..Sasa sielewi kama wagombea wengine wanajua jibu na kama wanajua sidhani kama tumewahi kuwauliza!..Na kama tutawapa ridhaa zetu kutuongoza wataweza vipi kutuondoa ktk Umaskini ikiwa hili sio swali la msingi?..
Tanzania is one of the richest country in Africa, if not the world (in terms of both natural and mineral resources). Yet the populations are the among poorest..
hadi leo hii tunaendelea kushawishika kulaumu Ukoloni, Utumwa na hata Utandawazi n.k wakati tumeshindwa kujinyooshea kidole sisi wenyewe wakati wote. It has become fashionable..
Hawa viongozi wanapokuja kuomba kura zetu huja kwa unyenyekevu mkubwa kama wao sii Wakoloni na exploiters lakini wakisha fika IKULU na kukalia kiti kikubwa utaona wakianza ku concentrate on power and wealth..we only find ourselves and all resources exploited for their own lavish enrichment.
Tumechoka na Hatudanganyiki... tunahitaji Mdahalo tuwaulize maswali magumu kwani hili sio ombi ila ni lazima wao kujibu ili wapate ridhaa zetu...Ni sisi wananchi tulopewa nguvu na mamlaka ya kuchagua viongozi wetu.
Nimegundua kwamba hizi siasa za majigambo are little more than just a pursuit of primitive accumulation na hazitaweza kuwasaidia wananchi wala taifa letu zaidi ya ahadi hewa ikiwa viongozi wetu hawana vision inayojenga ramani ya msingi wa ahadi hizo.
Ni wajibu wetu wanachi kuwauliza viongozi wetu maswali magumu kuliko kuendelea kusikiliza ahadi zao kwani tunachoweza kumtambua mbwa mwitu ktk kundi la kondoo sii kwa ngozi yake, umbo lake wala miguu yake bali malengo yake kuingia ktk zizi..
Tanzania tunahitaji visionary leadership. Kuahidiwa shule na Afya bure au kutujengea mabarabara, madaraja, na hata miji mipya haiwezi kuwa central of attraction kwa wananchi ikiwa vitu hivyo pekee havina malengo yatakayo boresha zaidi maisha na maendeleo ya nchi yetu. Tunahitaji zaidi ya ahadi, tunahitaji vision zao ktk ujenzi wa dira maendeleo yetu.
Tunakumbuka rais wetu Kikwete aliwahi kuulizwa swali kwa nini Tanzania ni maskini? na kama sikosei alisema hata yeye hajui..Sasa sielewi kama wagombea wengine wanajua jibu na kama wanajua sidhani kama tumewahi kuwauliza!..Na kama tutawapa ridhaa zetu kutuongoza wataweza vipi kutuondoa ktk Umaskini ikiwa hili sio swali la msingi?..
Tanzania is one of the richest country in Africa, if not the world (in terms of both natural and mineral resources). Yet the populations are the among poorest..
hadi leo hii tunaendelea kushawishika kulaumu Ukoloni, Utumwa na hata Utandawazi n.k wakati tumeshindwa kujinyooshea kidole sisi wenyewe wakati wote. It has become fashionable..
Hawa viongozi wanapokuja kuomba kura zetu huja kwa unyenyekevu mkubwa kama wao sii Wakoloni na exploiters lakini wakisha fika IKULU na kukalia kiti kikubwa utaona wakianza ku concentrate on power and wealth..we only find ourselves and all resources exploited for their own lavish enrichment.
Tumechoka na Hatudanganyiki... tunahitaji Mdahalo tuwaulize maswali magumu kwani hili sio ombi ila ni lazima wao kujibu ili wapate ridhaa zetu...Ni sisi wananchi tulopewa nguvu na mamlaka ya kuchagua viongozi wetu.