Countdown: Naomba niwe napewa updates za deni la taifa hadi litakapofika Trillion 100

Countdown: Naomba niwe napewa updates za deni la taifa hadi litakapofika Trillion 100

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kwa heshima zote naomba kila itakapopatikana taarifa ya deni jioya lataifa, tuwe tunapeana taarifa on a step by step basis hadi deni litakapofika Trillion 100.

Pia napendekeza ile siku deni letu linagonga Trillion 100 tuweze kuangalia miradi mbali mbali iliyokamilishwa kwa mikopo iliyosababisha madeni hayo.., na siku hiyo inabidi iingizwe kwenye kumbukumbu ya siku muhimu za taifa letu tangu tupate Uhuru miaka 62 iliyopita.

Bila kusahau, juzi juzi tu hapa deni lilikuwa trillion 50, ila kwa sasa tumeshavuka 90 trillion.

Tarehe : __ / __ / ____
 
Hapo kwenye kukagua thamani ya pesa vs miradi iliyo tekelezwa ndio shida kuu ilipo.

Usishangae kuambiwa baadhi zilitumika kwenye matumizi ya kawaida,yani mishahara,posho,nk. nk.
 
Hapo kwenye kukagua thamani ya pesa vs miradi iliyo tekelezwa ndio shida kuu ilipo.

Usishangae kuambiwa baadhi zilitumika kwenye matumizi ya kawaida,yani mishahara,posho,nk. nk.
Mikopo mingi inatumika kwenye matumizi ya posho na vitafunwa na mishahara, Huyu bibi hakusanyi kodi yeye tegemeo lake ni kuomba mikopo tu
 
huwa tunajidanganya huku eti deni ni stahimilivu, tunajisahau aliyetukopesha ndio huyo huyo anacontrol vitu vyakutufanya tusilipe deni lake.

Wakati unasema deni ni stahimilivu, huonyeshi juhudi zozote zakupambana ili usiende kukopa tena na uweze kupunguza deni.
 
BOT huwa wanachapishwa Hali ya uchumi kila mwezi ikiwemo deni la taifa, tembelea tovuti ya bot
 
Back
Top Bottom