Counter attack......Yasikukute

Hii ni a.k.a jino kwa jino.... mtenda akitendewa huwa inakuwa soo, alipomuacha mwenzanke alitegemea nini? hahaha hyo imekaa njema
 
Kwa hiyo unakubaliana na kisasi

Kwa upande wangu huwa siwezi kulipa kisasi ila sasa kwa dunia hii (ambayo watu hawathamini na kuheshimu feelings za wenzao) kama mtu anaweza kulipa kisasi alipe tu kwa kweli....mtu kukuletea mapoz ukiwa deep in love alafu akuache tena bila sababu inauma asikwambie mtu jaman, muacheni tu kwa kulipiza hvi wengine hupata psychological relief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…