Country salad

Country salad

My dada mambo? Skuizi majira yamechenji, naona twapishana! Ndio kwanza naamka, asante kwa mentioning please keep it up! Next time tuelekeze kupika broccolli veggie soup please
 
My dada mambo? Skuizi majira yamechenji, naona twapishana! Ndio kwanza naamka, asante kwa mentioning please keep it up! Next time tuelekeze kupika broccolli veggie soup please

Poa tu....usijali ntaweka inshaAllah
 
Asante mamie.
Yani nusra yangu ikifika nataka uwe somo yangu wa jikoni, unifunde nifundike kwenye mapishi.
 
Besti hio kitu iko very colorful!! Umenipa utaalamu mpya hapa! Mungu akitufikiza salama, Ramadhan hii boss atajiona mambo mapya tu!!
Shukran habibty
 
MashAllah. Mungu akulipe thawabu kwa ilm unayotupa ya kuwaandalia waume zetu mambo mazuri.

Ibaki basi tu, lkn JF ni zaidi ya shule.

Thanks babibty
 
Back
Top Bottom