Aliyeenda Dar jana
Mwambie hazimsaidii kwa sasa
Hahahaaaa mwananthropolojia hayo maandamano lazma yapate kibari cha Invisible otherwise virungu vya ugoko vitatembea hadi mshike adabu.
Muulize Baba V anajua kwa undani
Heheeeee
2010 sikuwa mwana JF
Umebuugi meeen
Mh.....hata simjui! Yeye amesema ananifahamu?
ndivyo unavyojidanganya?kwani tunatafuta vipaji vya kuimba kwa kubana pua?!batilisha matokeo!!!
Heheheeee
Huoni km itakuwa poa.
Unajua ile kazi inachosha sana ndio maana wanaume wengine wakiwa kitandani na wake zao huwa wakali yan mtu analala saa moja ili asisumbuliwe baadae lol.
Nani anataka kuchoshana na uzee huu?
shhhhh kimya kimya!
Well said my wifi.