Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Hahahaaaa mwananthropolojia hayo maandamano lazma yapate kibari cha Invisible otherwise virungu vya ugoko vitatembea hadi mshike adabu.
Muulize Baba V anajua kwa undani

hahahaha mimi nitafanya maandamano ya amani, ingawa najua utajaribu kuleta vurugu ili nionekane ni mimi nafanya fujo,najua Invisible atakushtukia tu halaf utakula virungu wewe
Baba V alifanywa nini?
 
Heheheeee
Huoni km itakuwa poa.
Unajua ile kazi inachosha sana ndio maana wanaume wengine wakiwa kitandani na wake zao huwa wakali yan mtu analala saa moja ili asisumbuliwe baadae lol.
Nani anataka kuchoshana na uzee huu?

haya bana wee endelea kuzeeka sie tutunaendelea kula ujana kabla hatujazeeka. Ila angalia usijejistukia umefika chalinze maana wazee mijini hawaingii atii mwisho wao chalinze looh
 
Back
Top Bottom