Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Kumbe ni Roho mtakatifu sio wewe
Hahhahaaa nilishangaa imekuwaje eti uzae na sweetlady lol

roho mtakatifu amefanya nini? Kitu nimetupia mwenyewe wavuni. We miaka yote hakuna hata matokeo chanya?
 
Last edited by a moderator:

Hata Amyner alikuwa mvumilivu hata aliponifuma na Kipipi Remmy BADILI TABIA na wale wa wizi na hatimaye kaweza kufudhu couple bora ya JF
 
Last edited by a moderator:
Labda washindi mnaposhindana nyie kwa nyie Passion Lady kubalini matokeo tu
 
Last edited by a moderator:
roho mtakatifu amefanya nini? Kitu nimetupia mwenyewe wavuni. We miaka yote hakuna hata matokeo chanya?

Ningekuwa sijatupia si ungekuwa unamuona Amyner humu?
Chezea mie...na Kipipi nae muda si mrefu atapotea kimyakimya maana kishaitika tena wa KE
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…