Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahaaa inabidi nimtafute Mzee Yusuph tufanye colabo
Unanisaidia kwa masimango?
Sitoi hata jero
Kumbe ni Roho mtakatifu sio wewe
Hahhahaaa nilishangaa imekuwaje eti uzae na sweetlady lol
Hahahahaha.........fanya hivyo utoke kijana lol
ishakula kwako!
pamoja na ushawishi mkubwa niliokufanyia...
pamoja na manyanyaso makubwa ya maneno na vitendo toka kwa Erickb52, anatangaza kuwa wewe ni nyumba ndogo, bado umeng'ang'ania! what type of woman a u? mbona unawa aibisha wanawake wenzako kwa kukubali harasiment ya wazi kabisa?
Shauri yako, ikifikia wakati wa wewe kunihitajitaji! Nadhani mimi nitakuwa sikuhitaji...
Ila nimeamini Wanyiramba wagumu sana, na ndivyo mlivyo....
yaani hadi namuonea huruma....ana vibuti karibu mia sasa
mmmh . . .dada huyo mtu mi ndo kwanza namuona!
Ye aseme tu labda anawish.
mwaaaaah
Hata Amyner alikuwa mvumilivu hata aliponifuma na Kipipi Remmy BADILI TABIA na wale wa wizi na hatimaye kaweza kufudhu couple bora ya JF
Labda washindi mnaposhindana nyie kwa nyie Passion Lady kubalini matokeo tuhoney umeona eee!!yani full furugu shindano na mratibu wake,sijui muandaaji nae ni mafujo au vp! ila usijali sie ni washindi kila siku swr!!Sikubaliani na ushindi huu hewa! Ni vigezo gani vimetumika? Ana interest kwenye hili hivyo hana sifa ya kuwa mratibu, pia ni wazi shindano halina masharti na vigezo vya kupata mshindi! Mchakato huu ni batili pamoja na ushindi! mimi na my Passion Lady tunapinga mchakato huu batili na ushindi batili
Mwaaaaaaaaaaa
Mwaaaaaaaaaaa
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Hata Amyner alikuwa mvumilivu hata aliponifuma na Kipipi Remmy BADILI TABIA na wale wa wizi na hatimaye kaweza kufudhu couple bora ya JF
mmmh . . .dada huyo mtu mi ndo kwanza namuona!
Ye aseme tu labda anawish.