Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

hongereni washindi..waloshindwa kazeni buti...ila,je,washiriki wote wana imani na mwenyekiti wa uchaguzi alojiteua kua mshindi?
 
Hivi na Amyner anaweza kuyakubali matokeo haya na maougonvi yenu ya kila siku ya kusalitiana? jamani mimi niko safarini natokea songea naelekea Dar er salaam.
 
Last edited by a moderator:
hongereni washindi..waloshindwa kazeni buti...ila,je,washiriki wote wana imani na mwenyekiti wa uchaguzi alojiteua kua mshindi?
Hakuna asiye na imani na mimi!
Naaminika sana ila wewe ndio sikusomi coz naona unaniletea kiwingu mimisa
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe kijana unamsahau mdogo wako stevoh ambae nimemuowa mtoto mlokole Zion Daughter??
Siamini nakata rufaaa
sio kutokuwepo kwangu mchukulie as advantage...
 
Last edited by a moderator:
Usiogope body ya sosoliso Invisible hafurukuti....lazma atakula za uso na harudi tena hahahaaaa
Hata mi simo ni keyboard ndio imeandika!

body ya sosoliso mie inanipa pumziko.....
kasheshe ni huyo @Invisble.................asijerudi hapa macho hayaoni - yamefumba!!!! hahahaaa chezea baunsa wangu sosoliso weyeeeeeee!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…