Hahahahaaaa lazma uogope maana anaweza fyatuka huko aliko akaja kama mshale lol ila ndio huyohuyo mlengwa!
Hakuna asiye na imani na mimi!
Naaminika sana ila wewe ndio sikusomi coz naona unaniletea kiwingu mimisa
Hivi wewe kijana unamsahau mdogo wako stevoh ambae nimemuowa mtoto mlokole Zion Daughter??
Siamini nakata rufaaa
sio kutokuwepo kwangu mchukulie as advantage...
alafu nyie ndo mlistahili ushindi..kihalali kabisa....helow Zion Daughter