Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

mbaili ya saccos itabidi tuanzishe timu yetu yenyewe kwani huu mlundikano si mchezo kaka tupe jina la timu yetu ya mawife'mentor
Haahaaa
Ni SACCOS aisee wakikusanyana wanakuwa km wale wanaobweka hasa wakiwa kwenye heat
 
lol.... Erickb52 una visa wewe...... sie wazee tuko kijiji twala mihogo huku utushindanishe na mambo ya njini....btw pole sana na kamanda Lema kukamatwa jana ndugu

Mh tushazoea mshikemshike sio
 
Last edited by a moderator:
Mrembo by Nature... I wouldn't say bye my mama taught me,
So fare thee well and you will always b missed by me.

Byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee utanikumbuka kwa wema niliokutendea japo hutambui umuhimu wanguuuu
hiyo ni your dedication my ex kidumu.
 
Last edited by a moderator:
Byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee utanikumbuka kwa wema niliokutendea japo hutambui umuhimu wanguuuu hiyo ni your dedication my ex kidumu.
Kukukumbuka nitakukumbuka, ila kamwe sitojutia moyoni mwangu hutotoka, ila chozi sitolitoa nenda kwa huyo kaka, alokuvutia na kibamia moyowe akiutia mabaka, kamwe kwangu usijerudia!!!
 
Kumbe nahitaji couple!? Basi ambaye yupo single ama anasuasua ani PM. Ila awe wa kike mi dume
 
Hivi uko single FP ?
Huu muda wa mree kutokwa jasho we uko humu lol
Usiku mwema naona Kipipi ananivutia kifuani kwake.
ha haaaa, lol!
sasa kifuani kwa mtu na simu/laptop?
mzee kasafiri...... ndo tunaskype hapa huku najiibia ibia jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…