Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
kha huko si ndo kuruka mkojo na kukanyaga nnya!!!!
My darlings Mrembo by Nature na ladyfurahia nawasalimu...
Haahaaa
Ni SACCOS aisee wakikusanyana wanakuwa km wale wanaobweka hasa wakiwa kwenye heat
U make the choice hun..aint gonna kill my SACCOSS for one person!!!Sasa umefikia uamuzi gani laaziz wangu?utaiacha ile saccos ubaki na mimi ili nisiende kwa huyo?
Hahaahahaaa Mrembo by Nature mi hata unitoe kwenye list nikiamua kukuweka kwenye SACCOS yangu haichukui muda
Mrembo by Nature... I wouldn't say bye my mama taught me,
Mrembo by Nature... I wouldn't say bye my mama taught me,
So fare thee well and you will always b missed by me.
Kukukumbuka nitakukumbuka, ila kamwe sitojutia moyoni mwangu hutotoka, ila chozi sitolitoa nenda kwa huyo kaka, alokuvutia na kibamia moyowe akiutia mabaka, kamwe kwangu usijerudia!!!Byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee utanikumbuka kwa wema niliokutendea japo hutambui umuhimu wanguuuu hiyo ni your dedication my ex kidumu.
Penzi langu nawe ni la kudumu. Hao wengine wanadanganyana tu..
Honey sisi tudumishe penzi letu eeh....... Wataachana wote sie watatuona hivihivi
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Watangoja sana
ha haaa, naona mambo ya travetineutamu utamu