Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,909
Kana roho mbaya . . . hakapendi wengine wafurahi.?
Yaani kazi kuharibu tu mapenzi ya watu.
BTW, na we ebu acha maneno ya kitoto bana!
wahenga walisema, "Happy is he who never loses his child's heart" so sidhan kama nakosea.
Ila honestly, hufurahi sana nikiona comment yako..popote!!! yani moyo hufarijika kujua uko salama...:A S-heart-2: