Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

unasubiri nini kufanya maamuzi sasa?, unangoja nini kuchukua hatua
iliyonyooka?acha kuogopa weka nia mbele na thubutu sasa ...........
Mbona mnazungukazunguka sasa?
Semeni mnaendelea au mnaachana?
Kuna watu wanasubiri muachane watake over
 
aliniachia p.o. box
nikienda mjini ntamtumia barua.
Hahahaaa
Aisee kweli bado mko Analogia Mamndenyi
Dawa ya nyie mnaojifanya kutulinda wanaume wenu ni kuwapa P.O BOX tu hapo yan hakuna kufurukuta
 
Last edited by a moderator:
sasa kaka mm nifanyeje tunakwenda kwenye baraza la usuluhishi kwa wazee tunasuluhisha lakini bado anaendelea tena, tunakwenda kwenye jopo la waheshimiwa kule MADODO wanatusuluhisha tukirudi tu kwenye meli anarudia vilevile tabia yake ya kuniletea mabibi hawa mara leo kaja mwembamba, mara kesho mnene, keshokutwa mfupi kama pimbi mtondoo gooo kaja mrefu ilmradi karaha yani si bora amalizane nao huko kuliko kuniletea ndani ya home

nimechoka kabisa hii hali ya kuniletea mke mwenzangu ndani ya nyumba si jambo la kushangaza hilooooooooo, kinachoniuma moyoni ni kulala sebuleniiiiix2 mm na watoto mamaaaaax2


hebu waangalie watu wenyewe anaoniletea home hawa hapa niliwapiga picha pasipo wao kujua
Hahahahaaa funguka mdada!
Unasuka au unanyoa?
 
Hivi Chocs bado yuko kichwani mwako?
Mi ndio Erickb52 mwingine kopikopi kiwatengu
Sikamatiki hata kwa Nuclear aisee
Maji marefu..nakuomba achana na mawazo ya kumiliki kokote nilikojiweka maana hutaambulia kitu zaidi ya kuumizwa moyo.
Kwa Chocs ni mfano ila na kwa Kipipi muulize mwananthropolojia anajua alichoambulia kule.

Copy kwa snowhite (Shemeji kwa Kipipi)

Mi naona kama unatapatapa tuu..
Machoni, wanakukubali ila rohoni washakubwaga!
Utapata anguko kubwa muda si mrefu..
 
Nikiwa kama mratibu wa shindano la kusaka ni couple ipi bora na mfano wakuigwa naomba kutangaza rasmi walioshinda.!
Hapakuwa na katiba ilonizuia kushiriki shindano kwa kuwa ni Mratibu hivyo na mimi nilikuwa mshiriki....!
Natangaza kuwa Erickb52 na Amyner ndio the best couple daima!
Tangu niingie moyoni kwa Amyner naye moyoni mwangu tumekuwa ni watu wenye furaha na wenye mapenzi ya kweli bila kujali umbea wa Bishanga na mkewe The secretary na uwepo wa nyumba ndogo kadhaa....amenivumilia sana! Chocs najua wanipenda sana ila usijali bado uko kwenye probation na kukidhi viwango vya uvumilivu kama Amyner

Nikiwa kama Mratibu naomba kuwataja washiriki wenzangu!
1. sweetlady na nitonye -Hawa Talaka ni nyingi sana
2. Bishanga na The secretary -Wambea sana na wanagombana kila kukicha
3. Filipo na marejesho -Mapenzi yao ya plastic
4. King'asti na Paw -Wanapendana kisa King'asti hataki ban na hajatulia.
5. watu8 na measkron -Hawaeleweki eleweki utadhani wanaiba
6. Arabela na zubedayo_mchuzi -Kila siku Arabela analalamika hatimiziwi haja zake
7. Ruttashobolwa na Passion Lady - Mh bado penzi lao changa
8. Mr Rocky na Dena Amsi -Hawafai kuigwa
9. Mr Rocky na Mamndenyi -Penzi changa bado
10. YNNAH na Judgement - Wanaonekana kama bado wako probation
11. sosoliso na Paloma ??????
12. gfsonwin na Kaizer -Penzi lao lilikuwa zamani
13. Mentor na Mrembo by Nature -Under ground bado
14. Madame B na Ben Saanane / Chimbuvu / nawengineo lol sio couple tena hii ni SACCOS!
15. Mungi na Lily Flower - Mara ya mwisho Naroki Mungi alijifanya hamjui mkewe lol
16. Remmy na PakaJimmy -Ilidumu kwa masaa mawili tu
17. stevoh na Zion Daughter -Hawa watasahaulika hadi siku ya ndoa yao! lol Samahanini sana!
18. Slave na Evelyn Salt -Jukwaa la wakubwa ndio linawatenganisha hawa jamaa
19. mimisa na KakaKiiza -Duh wanatongozana kila siku na hawafikii muafaka
20. sakapal na FP -Hawavumi ila wamo a.k.a Kimyakimya
Mwisho naomba kusema kama kuna couple haipo hapa ijue inasuasua sana na wachukue hatua. Arushaone nimeshindwa kujua wewe uko nanani au ndio King Mswati? kiwatengu utachonga sana..!

Naomba zawadi yangu Bishanga unipatie kabla ya lunch time.
Salamu zangu kwa Kipipi Nakupenda sana!
Copy kwa AshaDii na kiwatengu

"Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!
"

akulalamikie wewe kwani WE MSHENGA.....
 
Last edited by a moderator:
mi naona kama unatapatapa tuu..
Machoni, wanakukubali ila rohoni washakubwaga!
Utapata anguko kubwa muda si mrefu..
lord, give me the courage to change the things which can and ought to be changed, the serenity to accept things which cannot be changed, and the wisdom to know the difference
 
Bado unaendela kunikana? basi niliamua turudiane ila ngoja tu nibaki single

Angalia likes za comment kama hizi zinatoka kwa nani ndipo ujue nani mfitini wa pendo letu...you are the icing on my life's cake hun!!!
 
lord, give me the courage to change the things which can and ought to be changed, the serenity to accept things which cannot be changed, and the wisdom to know the difference

ha ha ha ha!
i know the difference now..
 
Angalia likes za comment kama hizi zinatoka kwa nani ndipo ujue nani mfitini wa pendo letu...you are the icing on my life's cake hun!!!

Eti Erickb52 unanishauri nini kuhusu huyu Mentor? ujue ananitesa sana, hanithamini kabisa. Hebu ona mwezi huu alivyonidhalilisha hapa kwa kuniletea wanawake wake. nisaidie mtoto wa mwanaume mwenzako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom