Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

ha haaa, umeona eeh!
haya ulale salama mamii
msalimu Erickb52

Ndo hivyo mwaya.
Kama sms zenyewe tu muda ukifika ikiingia tu hata kama nimetuma mdogo wako. . .ila we wazo la kwanza utajua ni teja.
Sumbuse skype kabisa inayokuonesha sura uloimiss?????? hahah

BTW, Erickb52 nadhani salamu zake keshazipata coz huyo hapo dirishani anachugulia.
 
Last edited by a moderator:
Nimezipata ingawa kwa kuchelewa ila mwambie dada FP nashukuru kwa salamu...na kesho asisahau kunisalimia eeeeeh
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa
Kumbe ilikuwa kotekote lol
Haya nimeamka Kipipi
Vip umeakaje wewe mamito wangu?

Hahahaa unajua nilikuona bado uko unachungulia tu.
Mi nikashangaa, manake we kaugonjwa kako bana . . . au ndo raha za Muller??

I give thanks to Allah mie niko mzima kabisa.
Waonaje hali yako?
 
Hahahaa unajua nilikuona bado uko unachungulia tu.
Mi nikashangaa, manake we kaugonjwa kako bana . . . au ndo raha za Muller??

I give thanks to Allah mie niko mzima kabisa.
Waonaje hali yako?
Yan huwa nalala na JF mkononi
Mi mzima kabisa niko zangu nazurula kidogo.
 
Kuna couple mpya siku hizi, hujaziona kaka?
 

ha ha ha umejipendelea wewe, Mungi na Lily Flower ilikuwaje maana nilikuwepo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…