Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

na ulimalize kama ulivyolianzisha.

Sasa wewe naona unataka kuniharibia raha yangu!
Hebu ngoja tukitoka hotelini kwenye zawadi yetu ndio ulete malalamiko yako na Mr Rocky mi niko najiandaa kuunganisha vifanyio vyetu na ma wife hahahaaaaa:smile-big:
 
Alafu mbona umeniweka mbali hivyo??
Unajua sie tumewapita kwa faida na sie ni mfano wa kuigwa zaidi kuliko nyie??
Hey sweety Zion Daughter nina wasiwasi haujaona huu uzi...
 
Last edited by a moderator:

Mdogo wangu Mentor, usifuate nyayo za dada yako.
Mie dadako nimevuka mengi mpaka nimedumu na shemeji zako 6.
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 mchakato urudiwe, huwezi kuwa judge wa kesi yako mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Siwezi kukubali kuchanganywa na mtu, hiyo ni BIG NO. Kama vipi waache wao nibaki mimi, kama hutaki basi

gangamala shoga yangu, mbona mie nimeweza kudumu nao waume zangu 4?
Acha mdogo wangu Mentor aoneshe uanaume wake.
 
Last edited by a moderator:
PHP:
 Slave na Evelyn Salt -Jukwaa la wakubwa ndio linawatenganisha hawa jamaa
ushauri tafwazzar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…