Nikiwa kama mratibu wa shindano la kusaka ni couple ipi bora na mfano wakuigwa naomba kutangaza rasmi walioshinda.!
Hapakuwa na katiba ilonizuia kushiriki shindano kwa kuwa ni Mratibu hivyo na mimi nilikuwa mshiriki....!
Natangaza kuwa
Erickb52 na
Amyner ndio the best couple daima!
Tangu niingie moyoni kwa
Amyner naye moyoni mwangu tumekuwa ni watu wenye furaha na wenye mapenzi ya kweli bila kujali umbea wa
Bishanga na mkewe
The secretary na uwepo wa nyumba ndogo kadhaa....amenivumilia sana!
Chocs najua wanipenda sana ila usijali bado uko kwenye probation na kukidhi viwango vya uvumilivu kama
Amyner
Nikiwa kama Mratibu naomba kuwataja washiriki wenzangu!
1.
sweetlady na
nitonye -Hawa Talaka ni nyingi sana
2.
Bishanga na
The secretary -Wambea sana na wanagombana kila kukicha
3.
Filipo na
marejesho -Mapenzi yao ya plastic
4.
King'asti na
Paw -Wanapendana kisa King'asti hataki ban na hajatulia.
5.
watu8 na
measkron -Hawaeleweki eleweki utadhani wanaiba
6.
Arabela na
zubedayo_mchuzi -Kila siku
Arabela analalamika hatimiziwi haja zake
7.
Ruttashobolwa na
Passion Lady - Mh bado penzi lao changa
8.
Mr Rocky na
Dena Amsi -Hawafai kuigwa
9.
Mr Rocky na
Mamndenyi -Penzi changa bado
10.
YNNAH na
Judgement - Wanaonekana kama bado wako probation
11.
sosoliso na
Paloma ??????
12.
gfsonwin na
Kaizer -Penzi lao lilikuwa zamani
13.
Mentor na
Mrembo by Nature -Under ground bado
14.
Madame B na
Ben Saanane /
Chimbuvu / nawengineo lol sio couple tena hii ni
SACCOS!
15.
Mungi na
Lily Flower - Mara ya mwisho Naroki Mungi alijifanya hamjui mkewe lol
16.
Remmy na
PakaJimmy -Ilidumu kwa masaa mawili tu
17.
stevoh na
Zion Daughter -Hawa watasahaulika hadi siku ya ndoa yao! lol Samahanini sana!
18.
Slave na
Evelyn Salt -
Jukwaa la wakubwa ndio linawatenganisha hawa jamaa
19.
mimisa na
KakaKiiza -Duh wanatongozana kila siku na hawafikii muafaka
Mwisho naomba kusema kama kuna couple haipo hapa ijue inasuasua sana na wachukue hatua.
Arushaone nimeshindwa kujua wewe uko nanani au ndio King Mswati?
kiwatengu utachonga sana..!
Naomba zawadi yangu
Bishanga unipatie kabla ya lunch time.
Salamu zangu kwa
Kipipi Nakupenda sana!
Copy kwa
AshaDii na
kiwatengu
"Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!"