Ni mumeo Mentor sio mimi ladyfurahiaMungu awasemehe kwani hamuujui mlitendalo sisemi sana mie nisije haribu mchuzi tu hapa kaka nawe umekuwa hivyo oky
Si kweli laazizi wangu.
I warned you.....mara oh karibu narudi bongo nikija Madame B tubanjuke,utalijua jiji ,akishakausha hicho kiATM chako cha Lloyds ndo utajua umeingia bongo.
Kopi: CHAI CHUNGU
ndo na mi nashanga my wee ahsante kwa ufafanyuzi! FP kuja huku sakapal kashatoa ufafanuzi Erickb52 hebu hizo ndyofu zako uzinywe taratiiiibu! FP mi sitaki upate shida ujue!Jamani wifi yangu mie hata sielewi huyu Erickb52 leo kaamka na za wapi mie nashangaa FP ameshamwambia mara kibao akanushe usemi wake ila ndo kwanza anafanya kichwa ngumu, sjui alikuwa hajui kuwa mie ni she, reference is made from previuos files pacha ako SnowBall ndo mwenye hati miliki kwangu sasa simwelewi Erickb52 anaposema mie na FP ni kapos cjui keshapata cha Arusha au Musoma.........???
Hahahahaa FP nitakanushaje ukweli?
Kama kuna zawadi ya ban niko tayari ila sifuti kauli
Jamani wifi yangu mie hata sielewi huyu Erickb52 leo kaamka na za wapi mie nashangaa FP ameshamwambia mara kibao akanushe usemi wake ila ndo kwanza anafanya kichwa ngumu, sjui alikuwa hajui kuwa mie ni she, reference is made from previuos files pacha ako SnowBall ndo mwenye hati miliki kwangu sasa simwelewi Erickb52 anaposema mie na FP ni kapos cjui keshapata cha Arusha au Musoma.........???
Ooooh na nani sasa Mwali ? Saint Ivuga ?