Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mdogo wangu nini sasa kunikatiza kwenye ndoto?
Halafu Saint Ivuga tokea aripoti polisi sentro kuungua moto kwa juu hajasikika tena.
Sijui alibakia huko huko sentro?
Mratibu feki,na matokeo ni zaidi ya feki! Erickb52 mratibu nani kasema,cheo ujipe mwenyewe,na ushindi pia, Bishanga usitoe zawadi mtanange urudiwe kwa haki,sikua na imani na huyu mratibu,kwanza walitakiwa wawe na shindano lao la jf saccos couple coz ni wengi hao wakeze,wenye mke mmoja na mme mmoja shindano ndio linatuhusu,mi sikubali ati,bora wangeshinda Bishanga na The secretary!dukuduku halijaisha nitarudi khaaaa
Passion Lady Una akili sana wewe.
Haahahaaaaaaa
Hahhaha duh kama tume ya uchaguzi ya bongo vile.....!
Mbona huelezi kilichoendelea baada ya hapo?Code:16. [B][URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=16543"]Remmy[/URL][/B] na [B][URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=15469"]PakaJimmy[/URL][/B] -Ilidumu kwa masaa mawili tu
Ni kwamba baada ya masaa mawili hayo tuliamua kufika kwa Paroko na kufunga ndoa...kwahiyo sasa hivi ni Mke na mume rasmi!
Actually its one of the happiest couples known!...
Unalo?
Kaka Erickb52 naona unantafuta uchokozi na wake zangu wagombane ( ladyfurahia, vivian, Catherine na huyu mpya Mrembo by Nature)
...Sitaki kuwepo kwenye mashindano haya infakti kwa sababu hii ningeomba kuteuliwa kuwa mratibu mkuu wa mashindano haya.
Ama lasivyo unipambanishe na kina Madame B & Chimbuvu, Ben Saanane, Mjeda et al kwenye Best JF SACCOS couple.
Si unajua hata kwenye NECTA huwa wanatangaza matokeo kwa shule zenye watahiniwa chini ya 45 na zaidi ya 45...
Baada ya kusema haya, naomba ku-appeal..
Cc: Ruttashobolwa