Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

ndo na mi nashanga my wee ahsante kwa ufafanyuzi! FP kuja huku sakapal kashatoa ufafanuzi Erickb52 hebu hizo ndyofu zako uzinywe taratiiiibu! FP mi sitaki upate shida ujue!
mdogo wangu nini sasa kunikatiza kwenye ndoto?
yaani hapa naona maluweluwe tu, lol! usingizi mtamu jamani, ukizingatia nilikuwa namuota teja! we acha tu.....
nakuaminia mdogo wangu kwa kunikingia kifua, yaani huwa najiaminije nikiwa karibu yako......! Mungu anipe nini tena zaidi ya mdogo wangu wewe?
cc. sakapal, Erickb52, na loya EMT
 
Last edited by a moderator:
Halafu Saint Ivuga tokea aripoti polisi sentro kuungua moto kwa juu hajasikika tena.

Sijui alibakia huko huko sentro?

Heeheee kuna siku nilimuona aliibuka akanambia tumemtupa then akapotea jumla lol
Hivi na CUTE yuko wapi jamani?
 
Last edited by a moderator:
Mi hapa i'm just waiting for Chocs, kwenye kufanya maamuzi magumu, kumwondolea ubabaishaji wa mapenzi anaoupata toka kwa Erickb52...
Afu tukitengeneza couple ndiyo mashindano yaanze rasmi..
 
Last edited by a moderator:
EMT ukinichokoza namwambia Mwali

Mwali hawezi tena kubite. Tushamjulia.

o-LUIS-SUAREZ-570.jpg
 
Mratibu feki,na matokeo ni zaidi ya feki! Erickb52 mratibu nani kasema,cheo ujipe mwenyewe,na ushindi pia, Bishanga usitoe zawadi mtanange urudiwe kwa haki,sikua na imani na huyu mratibu,kwanza walitakiwa wawe na shindano lao la jf saccos couple coz ni wengi hao wakeze,wenye mke mmoja na mme mmoja shindano ndio linatuhusu,mi sikubali ati,bora wangeshinda Bishanga na The secretary!dukuduku halijaisha nitarudi khaaaa

Passion Lady Una akili sana wewe.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa

Nimecheka sana!

Kumbe nilifanya makosa sana kukupendekeza, ama kweli hufai.
 
Code:
16. [B][URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=16543"]Remmy[/URL][/B] na [B][URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=15469"]PakaJimmy[/URL][/B] -Ilidumu kwa masaa mawili tu
Mbona huelezi kilichoendelea baada ya hapo?
Ni kwamba baada ya masaa mawili hayo tuliamua kufika kwa Paroko na kufunga ndoa...kwahiyo sasa hivi ni Mke na mume rasmi!
Actually its one of the happiest couples known!...
Unalo?


Tell him, hajui nyuma ya pazia kuna nini
 
Kaka Erickb52 naona unantafuta uchokozi na wake zangu wagombane ( ladyfurahia, vivian, Catherine na huyu mpya Mrembo by Nature)

...Sitaki kuwepo kwenye mashindano haya infakti kwa sababu hii ningeomba kuteuliwa kuwa mratibu mkuu wa mashindano haya.





Ama lasivyo unipambanishe na kina Madame B & Chimbuvu, Ben Saanane, Mjeda et al kwenye Best JF SACCOS couple.

Si unajua hata kwenye NECTA huwa wanatangaza matokeo kwa shule zenye watahiniwa chini ya 45 na zaidi ya 45...


Baada ya kusema haya, naomba ku-appeal..

Cc: Ruttashobolwa


Naunga mkono hoja ya wewe ku appeal, hafai huyu.
 
Last edited by a moderator:
sikubaliani na ushindi huu hewa! ni vigezo gani vimetumika? Erickb52 ana interest kwenye hili hivyo hana sifa ya kuwa mratibu,pia ni wazi shindano halina masharti na vigezo vya kupata mshindi! mchakato huu ni batili pamoja na ushindi! mimi na my Passion Lady tunapinga mchakato huu batili na ushindi batili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom