Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Kabisa pamoja na kumtoa lile futa Zito lile mashallah......vijana hawakwenda jandoni hawajui namna ya kumfinya na kumpapasa mwanamke.....wanasimamia u handsome na mengineyo.Wewe unaweza sema nguvu ya pesa kumbe mwenzio na sura lake gumu anasimamia ukucha kama hakuna kesho.
Nilikuwaga na demu mmoja wa kikenya, alikuwa na visenti vyake vya wastani na alinizidi umri kiasi.
Ila bi dada alikuwa na sura moja personal, nina yakini mtu pekee aliyewahi msifia kuwa mzuri itakuwa ni mama yake mzazi.
Wengi waliamini nilikuwa nae sababu ya pesa ila ukweli yule binti alikuwa na mashine moja mnato na ya moto sijawahi ona. Ukienda kizembe unaweza kojoa ndani ya sekunde. Yule binti Okello alikuwa anafinyia kwa ndani unakuta kidume unagugumia kwa ndimi kwa ule utamu.
Sio kila mwenye pesa anapendewa pesa, wengine wanapendewa ufundi.
Ila kujibu swali lako, couple ambayo sijawahi amini kuwa ili exist naturally ni ya Steve Nyerere na Wellu Sengo. Najua haikuwa sababu ya pesa maana Steve alikuwa kapuku bado. Naamini pale demu alirogwa na yule Emolo.
ManaraHabari wadau,kuna couple ukiingalia yani haiendani kabisa na uharisia yani unakuta jama ana sura ngumu ila anamiliki chombo moja ya hatari.
Watu wengi wenye pesa hujikuta wakimiliki mademu ambao hawaendani nao kabisa yani kama we ni mchizi fulani handsome unakuta demu wa jamaa anakuelewa ile mbaya kuliko mchizi wake.
Binafsi naona Majizo asingekuwa na pesa na umaaerufu asingekuwa na Lulu ila list ni ndefu sana unaweza kuongeza.
Na akamtia MimbaIla kujibu swali lako, couple ambayo sijawahi amini kuwa ili exist naturally ni ya Steve Nyerere na Wellu Sengo.
Bwana kistuliMimi na yule bwana....bila nguvu ya pesa, sijui ningemuangaliaje kunako 6×6.
Sio huyo, yule mwingine.....kistuli alivyofirisika tu, nikaamsha majeshiBwana kistuli
Madame na Mimi nataka unifilisi 😑Sio huyo, yule mwingine.....kistuli alivyofirisika tu, nikaamsha majeshi
Karibu🤗Madame na Mimi nataka unifilisi 😑
Fungua PM sasaKaribu🤗
Sijawahi funga Pm, acha wenge we kijana wa 2000!!!Fungua PM sasa
Nataka nikubambie 😑Sijawahi funga Pm, acha wenge we kijana wa 2000!!!
Ndumba ile.Na akamtia Mimba