Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Akamtia Mimba na inavyoonekana Wello kataka mwenyewe hakulazimishwaNdumba ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akamtia Mimba na inavyoonekana Wello kataka mwenyewe hakulazimishwaNdumba ile.
Kajamaa mwili wake wote ndo paja moja la Welu sijui kalipiga kwa style ipi,Wewe unaweza sema nguvu ya pesa kumbe mwenzio na sura lake gumu anasimamia ukucha kama hakuna kesho.
Nilikuwaga na demu mmoja wa kikenya, alikuwa na visenti vyake vya wastani na alinizidi umri kiasi.
Ila bi dada alikuwa na sura moja personal, nina yakini mtu pekee aliyewahi msifia kuwa mzuri itakuwa ni mama yake mzazi.
Wengi waliamini nilikuwa nae sababu ya pesa ila ukweli yule binti alikuwa na mashine moja mnato na ya moto sijawahi ona. Ukienda kizembe unaweza kojoa ndani ya sekunde. Yule binti Okello alikuwa anafinyia kwa ndani unakuta kidume unagugumia kwa ndimi kwa ule utamu.
Sio kila mwenye pesa anapendewa pesa, wengine wanapendewa ufundi.
Ila kujibu swali lako, couple ambayo sijawahi amini kuwa ili exist naturally ni ya Steve Nyerere na Wellu Sengo. Najua haikuwa sababu ya pesa maana Steve alikuwa kapuku bado na nina mashaka makubwa kuhusu kusimamia ukucha kwa Bw. Steven maana kutwa anajihusisha na mambo ya kina mama.
Hivyo kuacha conclusion moja tu, alitumia ndumba.
View attachment 3085450
View attachment 3085451