Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hilo dundo la Yayo, curious umenikumbusha long sana aisee π€You my boo like Usher and Alicia Keys
And every time that you touch me girl you please my needs
We like George and Weezy, Jada and Will.
nilikua natukana kuna mtu kanireport[emoji28]
π€£π€£π€£Mambo yangu niachie mwenyewe...
wawuu
maua yangu yako wap kwanza!Jiandae december nikupeleke kutambulishwa kuleee Kwa "The home of Mbege" wakujue
Hiii imeenda hamna mda wa kujitetea
ah wee situkani tena,Jf hekaheka haziishi khaaaaa!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona hukunitag nikusaidie kutukana tule ban vizuri
maua yangu yako wap kwanza!
uweeee!nalala kwanza nitakueleza nikiamka
ah wee situkani tena,
hebu futa hizo post[emoji28]
wouyoooooooooooooooooSifuti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wouyooooooooooooooooo
Kweli kwanza mwanamke anakuwa kikikeWEEE
Mkuu, unatafuta ugomvi wa lazima eehhh...π€£wewe huna?
Mkuu, kwani wewe haujajenga nyumba ya vioo hadi hauogopi kupondwa mawe....πmwongozo gan
ile couple yenu ilikufaga au
Wemzungu, sikuwahi kujua kama nawewe ni mchokozi kama mimi hivi...πpicha please