mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
unamvizia sana money penny we mzeeπMkuu, kwani wewe haujajenga nyumba ya vioo hadi hauogopi kupondwa mawe....π
Mama yako ananitosha mwanangu, skuizi sina meno...πunamvizia sana money penny we mzeeπ
Shiiiiiii! Acha kupiga kelele wakati watu wana msiba wa Bandari zetuBRO UKO NA SHIDA YA AFYA YA AKILI AU!?
Imenibidi nicheke[emoji23][emoji23][emoji23]Mambo yangu niachie mwenyewe...
Khaaa watu na vipawa vyenu.Lloyd Munroe Nimeona ulichofuta nyau wee [emoji23][emoji23][emoji23]
katumbukie kwenye jeneza basi kama una uchungu na marehemuShiiiiiii! Acha kupiga kelele wakati watu wana msiba wa Bandari zetu
uyo muache ananipendaga kwa siri!unamvizia sana money penny we mzeeπ
kha!Victoire Beckham na wale waliocheza movie ya King Kong III majina yao nimesahau
I love you tooWemzungu, sikuwahi kujua kama nawewe ni mchokozi kama mimi hivi...π
Upo sahihi kabisa, maana gari bovu sikuzote huvutwa na gari zima...πI love you too
[emoji1787][emoji1787]
shenziUpo sahihi kabisa, maana gari bovu sikuzote huvutwa na gari zima...π