Ndio mkuu mwisho ulifutwa ila kimbembe zile id hazionekani najua wamebadili Id ili wausambaze zaidi kwanza yule kidume muhusika alionekana hajutii kuambukiza mke wa humu wenye tamaaBinafsi niliuona ila ikafika mda page zikawa zinaenda mbele zinarudi nyuma nikawa sielewi kumbe baadhi zilikuwa zinafutwa π
Hapa ni zaidi ya kijiwe cha kahawa πNdio mkuu mwisho ulifutwa ila kimbembe zile id hazionekani najua wamebadili Id ili wausambaze zaidi kwanza yule kidume muhusika alionekana hajutii kuambukiza mke wa humu wenye tamaa
Yaani kaka yangu ukiopoa humu pima narudia tena PIMA nae vipimo vyoteπππHapa ni zaidi ya kijiwe cha kahawa π
Umepiga maana sio kwa sifa hizi
Nichagulie ww unaejua mzima si mnajuana πYaani kaka yangu ukiopoa humu pima narudia tena PIMA nae vipimo vyoteπππ
Lipo wapi hili jukwaaAlafu hanaga noma [emoji28][emoji28] ona day nimekutana nae kino viwanja yupo vyomboo ila vibe tuu .. utu uzima dawa naona kapunguza makali na alikuwa ana shinda jukwaa la utu uzima dawa
Hakuna ninaye mjua nje ya jf story zangu jukwaani mkuuNichagulie ww unaejua mzima si mnajuana π
Bhas nakuchagua ww πHakuna ninaye mjua nje ya jf story zangu jukwaani mkuu
Nina Mume ninaye mpenda sanaBhas nakuchagua ww π
Ooooooow hongera basi ngojea nipambane na mimi niibuke na goma toka jf nahisi mambo yakivurugika na yeye atakuja kuanika poumbou zangu hapa πNina Mume ninaye mpenda sana
Wazuri wapo mkuu pambana ila kupima iwe lazimaOoooooow hongera basi ngojea nipambane na mimi niibuke na goma toka jf nahisi mambo yakivurugika na yeye atakuja kuanika poumbou zangu hapa π
Lilindoka na mafurikoLipo wapi hili jukwaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kaka yangu ukiopoa humu pima narudia tena PIMA nae vipimo vyote[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa tupo jf kwa nini nizungumzie kwengine mkuu ila kupima lazima kokote kule ukipata mwenza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo Sisi watu wa jeifu ndio kupimwa lazima.
Hao wengine hamuwapimi?? Dah
Mbona unyanyapaaa humu.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€Έπ€Έπ€Έπ€Έπ€ΈMi simo.... mchongo mzima anaujua Lovelovie
Mim id zangu zote zinajulikana ndo tatizo πππππ
Mtoto una ubuyu wewe, sema sina ID nyingine ningekwambia nipasie, niumwage kama ulivyo... watu waumung'unye tu.Mim id zangu zote zinajulikana ndo tatizo πππππ
Ilinipita mie mweeSura iliwekwa halafu mtoa ushuhuda aliye ambukizwa alikuwa ana machungu anataja hadi Id nyingine zilizo ambukizwa ukiachana na yeye hapo ndipo balaa lilipo anzaπππ
Nakuuzia yangu one time nikipigwa ban itajua yenyeweeπ€£π€£!!Mtoto una ubuyu wewe, sema sina ID nyingine ningekwambia nipasie, niumwage kama ulivyo... watu waumung'unye tu.
Sasa tunafanyaje jamani πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ