Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Kenyewe hakawezi, kakusanya matahaira wa kiume na wa kike ndiyo huwa wanamsaidia. Utaona tu na utaniamini. Hao wanaume waliojiunga naye nawaonaga mahanithi tu. Dume huwezi kuwa kwenye mambo ya kike. Nilishapiga block wote...
Kanajikutaga sana yani lazima kaite watetezi wakee nao kama mazombie vileer utayaona hayooooo!!
Kanwapelekesha kweli hadii watu hata hamjawahi kugombana nao au kupishana kivyovyote humu unashangaa wanakuvamia majungu kama yote !!
 
Code zinaondoa Radha ya Uzi bwana.

Kwani kuna tabu gani kusema Antonia alikuwa kapo ya kapachino??

Antonnia mnatupa Kazi sana. Au mnataka nasisi tupewe syphilis na Bacteria
Wee Jichanganye tyuu nakuona onaaa🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🏃🏻‍♀️🤭🤭!!
Jifanye tu unajua kutumia Dyudyu yako kuliko wengine humu utajua hujui!!
 
Yule wa [emoji631] aliwahi kuja DM eti kumbe katumwa kuja kunichora, nkasema wee hunijui ngoja nikuoneshee, nilimchezea pigo 1 hatakaa anisahau, afu wakati huo ndo anataka kupanfa pipa kuzamia huko kwa Biden, alidhan mie limbukeni.

Woiiiiiiih, mzee wa $400 acha nichekeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii code ya US pekee mmeniacha njia panda ya Himo nashoiya tu 😅😅😅😅
 
Yule wa [emoji631] aliwahi kuja DM eti kumbe katumwa kuja kunichora, nkasema wee hunijui ngoja nikuoneshee, nilimchezea pigo 1 hatakaa anisahau, afu wakati huo ndo anataka kupanfa pipa kuzamia huko kwa Biden, alidhan mie limbukeni.

Woiiiiiiih, mzee wa $400 acha nichekeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yule bwana yule nahis atakua mchicha mwiba.
 
Back
Top Bottom