Couples Verification!

yaani mpaka nimejua sasa.. Mr Rocky small house mnakaa wenyewe au mmpepangisha


Hizo Heaven on earth ni zetu wenyewe hamruhusiwi kufika huko na hata nilipoweka kidumu huruhusiwi kukishika maana utamwagikiwa na acid yake
Mkuu Mr rocky wakati mwingine huwa sielewi elewi, lakini naamua kukaa kimya tu. Mara anatafuta wazungu wakati mimi nipo humu humu.

Elewa kuwa Heaven on earth ana aleji na wazungu na ashachoka na ngozi nyeusi hii
au dozi yako ya kichovu ndo maana anakimbia unamletea shombo tuu

Mr Rocky.....mke wangu Heaven on earth anajua kila kitu changu....simfichi kitu

:shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock::shock: wacha mimi nikae kimya maana hapa nikiongeza neno nitaharibu zaidi

grafani11 my king ndio unaamka sasa hivi......Supu iko mezani

Mhhh huku unampeti peti Vin Diesel na huku unamwandalia grafani11 supu sikuelewi hivi unajua wote hao ni ndugu zangu kasoro tunatofautiana tabia
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…