Couples Verification!

Couples Verification!

chama amemfanya Mamndenyi mpaka akabadili na itikadi siku hizi Mamndenyi ni magamba full Bishanga anachanganywa na wake zake wanatoka nje kila siku huduma zimekuwa hafifu
Halafu namuona mzee wa penda penda Vin Diesel amefolu kwako wakati hajui grafani11 anahudumia hapo
Mkuu Mr rocky wakati mwingine huwa sielewi elewi, lakini naamua kukaa kimya tu. Mara anatafuta wazungu wakati mimi nipo humu humu.
 
Hahahah....ngoja kwanza aandike wosia, maana hadi leo na uzee wote ule bado anajitutumua kuwa ni kijana

Ngoja kwanza aote jua apate nguvu za kuandika....kila asubuhi na jioni lazima aanikwe...
 
Back
Top Bottom