Couples za JamiiForums

Neno dear lisikuzingue,hata baba yangu nikimwandikia barua huwa naandika dear father,ni neno ambalo huwa nalitumia kwa watu ninaowapenda kama vile ndugu,jamaa na marafiki!![emoji1][emoji1][emoji1]
Nami pia najua ila wewe sio dear wangu. Kikikikikkkk[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12]
 
Nilikua nahisi njaa ila kusoma hapa nimeahiba!!!!
Nimekuja mpenzi wangu.
Nakupenda haswaa
Ila mimi closed relationship siitaki!!!
Kizuri gawana na wenzako
 
Nami pia najua ila wewe sio dear wangu. Kikikikikkkk[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji12]
Najua una wasiwasi kuwa STUNTER atakuja kuona tukiwa tunaitana dear hapa ila usiwe na wasiwasi hawezi kufika huku ng'oo!![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nilikua nahisi njaa ila kusoma hapa nimeahiba!!!!
Nimekuja mpenzi wangu.
Nakupenda haswaa
Ila mimi closed relationship siitaki!!!
Kizuri gawana na wenzako
Tupangie pambano basi na mume mwenzangu tuone nani atapinga long trip siku hiyo.
 
Jaman hakuna hata she aliekosea kunitaja duuh kwel nmeamin sasa wenye vibamia tumeanza kutupia nguo nje [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] nioneen hurumaaaa heeeeeeee
 
Najua una wasiwasi kuwa STUNTER atakuja kuona tukiwa tunaitana dear ila usiwe na wasiwasi hawezi kufika huku ng'oo!![emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sitaki bhana tabiarist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…