Couples zisizoendana

Couples zisizoendana

Nimeshayajua yale mamtu mawili

Mwanamke ndo anafos kingi. Kwakua mwanaume ndo anabidi akusifie sifie na kukutaja taja. Ila demu akikusifia sana ujue ana njaa
1:njaa ya dushe
2:njaa ya hela/tumbo kunguruma/msosi
3:njaa ya ndoa

Sio kwamba anakupenda(ni kwamba imemlazimu tu)
Kwa hiyo unamaanisha yule demu anaemsifia jamaa yake ana njaa kali sio[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna maneno sio ya nchi hiii ni ya korea kaskazini
 
Kwa hiyo unamaanisha yule demu anaemsifia jamaa yake ana njaa kali sio[emoji23][emoji23][emoji23] watu mna maneno sio ya nchi hiii ni ya korea kaskazini
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nimeshayajua yale mamtu mawili

Mwanamke ndo anafos kingi. Kwakua mwanaume ndo anabidi akusifie sifie na kukutaja taja. Ila demu akikusifia sana ujue ana njaa
1:njaa ya dushe
2:njaa ya hela/tumbo kunguruma/msosi
3:njaa ya ndoa

Sio kwamba anakupenda(ni kwamba imemlazimu tu)
Hahaa watu mna maneno khaa!
 
Back
Top Bottom