Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ahahha nishapoa na nishazoea acha tuendelee na maisha mengineHahaha
Pole eeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahha nishapoa na nishazoea acha tuendelee na maisha mengineHahaha
Pole eeeh
Kumbe una makando kando bado[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada mbavu zangu ujue bora tu nitongozwe na ndugu zangu tutawezana ujue
Hailewi darasa la kiutu uzimaKwa nini tena jamani
Huwezi kujua kama couples zinaendana au haziendani mpaka ushiriki nazo threesome uone mapigo yanaendaje.Bila kupoteza muda, kila mtu ana vigezo vyake katika kuchagua ni yupi awe naye. kwa mtazamo wako ni couple gani ya watu maarufu ambayo huwa unaona wahusika hawaendani kabisa katika vitu mbalimbali mfano mwonekano.
Karibuni.
Sina makando kando mie Manga nilikuwa natongozwa tu kwenye jukwaa hukoKumbe una makando kando bado
Jamaan Manga [emoji134] [emoji134] ebu nielewesheHailewi darasa la kiutu uzima
Mimi nakusubili hukuSina makando kando mie Manga nilikuwa natongozwa tu kwenye jukwaa huko
Nakuja basi acha tu niitikie tu hivyo hivyo jamanMimi nakusubili huku
Tusubili aje kwanzaDada jaman ebu niambie labda kuna sehemu nakosea [emoji134] [emoji134] ebu niambie nikaribie wapi anaposema Manga
Manga jamaan [emoji134] au kujaTusubili aje kwanza
PmTusubili aje kwanza
PmDada jaman ebu niambie labda kuna sehemu nakosea [emoji134] [emoji134] ebu niambie nikaribie wapi anaposema Manga
hahhahaha ubuyu wanukia hapa😀😀😀
Mi naona mwanamke ndo anatumia nguvu sana ha ha ha ha nakuona nakuonaaaaa