Course ya milioni mia moja ndani ya national institute of transport...

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
wadau, habari za leo?

nimesikia kwamba chuo cha taifa cha usafirishaji kiko mbioni kuanzisha course ya usafirishaji wa anga ambayo ada yake inafikia TAS milioni mia moja!

wadau nimejiuliza sana kwanini hii course ina ada kubwa kiasi hiki?

na, je baada ya kugraduate, wahitimu wake wako vipi kwenye soko la ajira interms of market demand and salary payments?

tujadili pamoja tafadhali!
 
Course za aviation duniani kote ni aghali sana ndio maana ni nchi chache zimemudu kuwa na vyuo vya taaluma hiyo.

Kwasasahivi ukienda kusomea hiyo kozi Ulaya, America au Asia gharama ya mtu mmoja inakuwa si chini ya milioni Mia tatu!

Kama NIT wanaianzisha tueapongeze na kuiomba serikali iwaongezee nguvu kwakuwa wataalamu wa aviation tulio nao sasa ni wachache sana na wengi wao Wako kwenye age ya kuretire na serikali yetu haijasomesha wataalamu wa fani hiyo kwa muda mrefu.

Tumpongeze Dkt. Mganilwa mkuu wa Chuo kwa ubunifu huo.
 
inaelekea unapajua vizuri NIT sio mara ya kwanza unazijibu hoja kuhusu pale kwa ufasaha
 
Mfano hiyo kozi ya miaka 3, sawa namil mia 3.5 pamoja na pocket money.
Hiyo hela kwanini usinipe nianzishie mradi?! Kwani unasoma ili ulipwe nini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…