Brilliant Beauty
Member
- Jul 8, 2022
- 76
- 134
Na ndugu yangu kapata 1 .6, amesoma taasusi ya HKL, ana mpango wa kusoma UDS sheria.
Naomba ushauri wakuu, halafu ukicheki ana aibu sana.
Naomba ushauri wakuu, halafu ukicheki ana aibu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃😃😃Mwambie aanze dozi ya kunywa gongo ili aondoe aibu
Kwani hawajateport hadi sahv vyuoni mkuu??Njooni tulijadili vizuri wakuu ,haya mambo yanaendana na confidence mjue
Hata Geogrsphy ilikushinda mkuu? Kwa udsm na mzumbe sahau law maana huna geog unless wawe wqmebadilisha. Ila unaweza apply udom na sautNa ndugu yangu kapata 1 .6, amesoma taasusi ya HKL, ana mpango wa kusoma UDS sheria.
Naomba ushauri wakuu, halafu ukicheki ana aibu sana.
Mbona amepata udsm .Geography inahusiana nn kwan wanaosoma law wote udsm wamesoma Geography?Hata Geogrsphy ilikushinda mkuu? Kwa udsm na mzumbe sahau law maana huna geog unless wawe wqmebadilisha. Ila unaweza apply udom na saut
Nilisoma sheria udsm sikusoma geog kwenye combination yangu. Wacha urongo. Geog ni lazima kwa marubani bhanaHata Geogrsphy ilikushinda mkuu? Kwa udsm na mzumbe sahau law maana huna geog unless wawe wqmebadilisha. Ila unaweza apply udom na saut
Nilitaka kushangaaNilisoma sheria udsm sikusoma geog kwenye combination yangu. Wacha urongo. Geog ni lazima kwa marubani bhana
Akiivunja bikra aibu itajigeuka kwa ustadi sana na kuwa kitu kipyaNa ndugu yangu kapata 1 .6, amesoma taasusi ya HKL, ana mpango wa kusoma UDS sheria.
Naomba ushauri wakuu, halafu ukicheki ana aibu sana.
😅😅😅Ni wewe sio ndugu yako ,anyway Kama kipato nyumbani kizuri asome sheria otherwise itamsumbua ni costful and time consuming
Geog inasaidia nini kwenye sheria mkuuHata Geogrsphy ilikushinda mkuu? Kwa udsm na mzumbe sahau law maana huna geog unless wawe wqmebadilisha. Ila unaweza apply udom na saut