Court awards patient Ksh.44 million for brain operation gone wrong

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mahakama Kuu imeamuru malipo hayo kama fidia kwa mgonjwa huyo aliyepata tatizo la ubongo baada ya Madaktari kukosea kufanya upasuaji

Makosa hayo yalifanyika miaka 14 iliyopita katika Hospitali ya Nairobi wakati kijana huyo akiwa Kidato cha Nne

Jaji wa Mahakama Kuu, George Odunga aliyekuwa akishughulika na shauri hilo pia ametoa amri ya malipo ya Tsh. Milioni 2 kwa wazazi Mgonjwa huyo

Malipo hayo yote yatalipwa na Dkt. Praxedes Mandu Okutuyi aliyefanya upasuaji huo na Hospitali ya Nairobi


=====

The High Court has awarded Ksh.44.5 million in damages to a patient who suffered brain damage as a result of an operation gone wrong 14 years ago at Nairobi Hospital.

Further, High Court Judge George Odunga awarded the parents of the patient Ksh.1 million.

Anesthetist Dr. Praxedes Mandu Okutuyi and Nairobi Hospital will bear the costs.

The patient’s parents sued the hospital on behalf of their son who at the time of the operation was a Form Four candidate at St. Mary’s High School.

They wanted the hospital held liable for their son’s brain damage as he behaves like a six-year-old.

They said the son would not have suffered the damage if the hospital machines were in good working condition.

https://citizentv.co.ke/news/court-...illion-for-brain-operation-gone-wrong-229114/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…