Covid-19 attack levels: Dondoo muhimu za kujua na hatua za kuchukua

Covid-19 attack levels: Dondoo muhimu za kujua na hatua za kuchukua

Waaai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2021
Posts
1,293
Reaction score
2,642
COVID ATTACK LEVELS

Level 1 - Inatibika
Mwili kuchoka
Maumivu ya mwili mzima na viungo
Kichwa kuuma & Kizunguzungu

Level 2 - Inatibika
Kukosa hamu ya kula
Kushindwa kunusa harufu
Homa
Kikohozi
Kukosa pumzi (Kupumua kwa shida)

Level 3 - Hatari na ngumu kutibika
Kifua kubana
Makohozi yenye damu au njano nzito
Kushindwa kupumua (Kukosa hewa - unawekewa oxygen)
Homa kali
Mapafu kujaa maji (Pneumonia)

Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:

Azithromycin, Amoxillian&Clavunate Potassium, Junior Aspirin,
Ped zinc,
Vitamin C na
Prednisolne.

Tusisahau: Tangawizi, Malimao na Kujifukiza.

Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.

Ambavyo ni:
  • Limao- 9.9pH *
  • Chenza- 8.2pH *
  • Parachichi- 15.6pH *
  • Vitunguu - 13.2pH *
  • Maembe - 8.7pH *
  • Tangerine - 8.5pH *
  • Mananasi - 12.7pH *
  • Dandelion - 22.7pH *
  • chungwa - 9.2pH *

Unajuaje kuwa una coronavirus?
1. * Kuwashwa kwenye koo
2. * kukauka koo
3. * Kikohozi kikavu. *
4. Joto kubwa
5. kupumua kwa tabu

kwa hivyo unapoona vitu hivi haraka chukua maji ya moto kiasi weka limao kisha kunywa

Usibakie na habari hii peke yako. Sambaza kwa familia yako yote na marafiki. Mungu akubariki.
 
Amani kwako msomaji.

👉🏾Level 1 - Inatibika

Mwili kuchoka
Maumivu ya mwili mzima na viungo
Kichwa kuuma & Kizunguzungu

👉🏾Level 2 - Inatibika
Kukosa hamu ya kula
Kushindwa kunusa harufu
Homa
Kikohozi
Kukosa pumzi (Kupumua kwa shida)

👉🏾Level 3 - Hatari na ngumu kutibika

Kifua kubana
Makohozi yenye damu au njano nzito
Kushindwa kupumua (Kukosa hewa - unawekewa oxygen)
Homa kali
Mapafu kujaa maji (Pneumonia)

👉🏾Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:

Azithromycin, Amoxillian & Clavunate Potassium, Junior Aspirin, Ped zinc, Vitamin C na Prednisolne.

🗣️Tusisahau:
Tangawizi, Malimao na Kujifukiza.

👉🏾Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

👉🏾Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.


Ambavyo ni:
* Limao- 9.9pH *
  • Chenza- 8.2pH *
  • Parachichi- 15.6pH *
  • Vitunguu - 13.2pH *
  • Maembe - 8.7pH *
  • Tangerine - 8.5pH *
  • Mananasi - 12.7pH *
  • Dandelion - 22.7pH *
  • chungwa - 9.2pH *

Unajuaje kuwa una coronavirus?
1. * Kuwashwa kwenye koo
2. * kukauka koo
3. * Kikohozi kikavu.
4. * Joto kubwa
5. * Kupumua kwa tabu

👉🏾Kwa hivyo unapoona vitu hivi haraka chukua maji ya moto kiasi weka limao kisha kunywa fasta.


Sambaza hii taarifa kwa jamaa zako.
Asante.
 
ukipata hali hizo tajwa hapo juu then zika subside je kuna uwezekano zikarudi tena ikitokea ukawa exposed tena kwenye virus??
 
Limao- 9.9pH *
  • Chenza- 8.2pH *
  • Parachichi- 15.6pH *
  • Vitunguu - 13.2pH *....
Hayo maelezo yasiyo feki kwann umeyakalia mwenyewe tu hukuyaweka hapa ili feki yasiwepo? Asante kwa masahihisho.
 
phscalesh.png
 
ukipata hali hizo tajwa hapo juu then zika subside je kuna uwezekano zikarudi tena ikitokea ukawa exposed tena kwenye virus??
Mkuu kumbuka kinga ni bora kuliko tiba mkuu.

But you can!
 
Amani kwako msomaji.

[emoji1485]Level 1 - Inatibika


[emoji1485]Level 2 - Inatibika


[emoji1485]Level 3 - Hatari na ngumu kutibika



[emoji1485]Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:

Azithromycin, Amoxillian & Clavunate Potassium, Junior Aspirin, Ped zinc, Vitamin C na Prednisolne.

[emoji2788]Tusisahau:
Tangawizi, Malimao na Kujifukiza.

[emoji1485]Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

[emoji1485]Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.


Ambavyo ni:
* Limao- 9.9pH *
  • Chenza- 8.2pH *
  • Parachichi- 15.6pH *
  • Vitunguu - 13.2pH *
  • Maembe - 8.7pH *
  • Tangerine - 8.5pH *
  • Mananasi - 12.7pH *
  • Dandelion - 22.7pH *
  • chungwa - 9.2pH *

Unajuaje kuwa una coronavirus?
1. * Kuwashwa kwenye koo
2. * kukauka koo
3. * Kikohozi kikavu.
4. * Joto kubwa
5. * Kupumua kwa tabu

[emoji1485]Kwa hivyo unapoona vitu hivi haraka chukua maji ya moto kiasi weka limao kisha kunywa fasta.


Sambaza hii taarifa kwa jamaa zako.
Asante.
Safi
 
Hayo matunda yote uliyotaja hapo ni acidic, yana PH chini ya 7. Hizi sayansi matango pori huwa mnazitolea wapi? Msipende kusambaza kila taarifa za afya kama huna hata elimu ya msingi kuielewa.
COVID ATTACK LEVELS

Level 1 - Inatibika


Level 2 - Inatibika


Level 3 - Hatari na ngumu kutibika


Kwa Level 1 & Level 2 dawa zifuatazo zimewasaidia wengi:


Azithromycin, Amoxillian&Clavunate Potassium, Junior Aspirin,
Ped zinc,
Vitamin C na
Prednisolne.

Tusisahau: Tangawizi, Malimao na Kujifukiza.

Hii ni kutufahamisha sisi kuwa pH ya virusi vya corona inatofautiana kutoka 5.5 hadi 8.5.

Wote tunahitaji kufanya, kupinga virusi vya corona, tunahitaji kuchukua zaidi ya vyakula vya alkali ambavyo viko juu ya kiwango cha juu cha pH cha Virusi.

Ambavyo ni:
  • Limao- 9.9pH *
  • Chenza- 8.2pH *
  • Parachichi- 15.6pH *
  • Vitunguu - 13.2pH *
  • Maembe - 8.7pH *
  • Tangerine - 8.5pH *
  • Mananasi - 12.7pH *
  • Dandelion - 22.7pH *
  • chungwa - 9.2pH *

Unajuaje kuwa una coronavirus?
1. * Kuwashwa kwenye koo
2. * kukauka koo
3. * Kikohozi kikavu. *
4. Joto kubwa
5. kupumua kwa tabu

kwa hivyo unapoona vitu hivi haraka chukua maji ya moto kiasi weka limao kisha kunywa

Usibakie na habari hii peke yako. Sambaza kwa familia yako yote na marafiki. Mungu akubariki.
 
Hayo matunda yote uliyotaja hapo ni acidic, yana PH chini ya 7. Hizi sayansi matango pori huwa mnazitolea wapi? Msipende kusambaza kila taarifa za afya kama huna hata elimu ya msingi kuielewa.
Mkuu Hakuna sumu hapo imewekwa kwamba ukitumia utakufa halafu Taarifa yako isiyo ya magumashi kwann huiweki isaidie watu?
 
Back
Top Bottom