Covid-19 attack levels: Dondoo muhimu za kujua na hatua za kuchukua

Covid-19 attack levels: Dondoo muhimu za kujua na hatua za kuchukua

Mimi sijui tiba ya Corona ila haimaanishi siwezi kujua taarifa za kupotosha ambazo hazimsaidii ki vyovyote mtu aliyepata huo ugonjwa.Njia mojawapo ya kupambana na huu ugonjwa ni kutoa taarifa sahihi. Pale ambapo hatujui,tukiri tu hatujui kuliko kuzidi kupotoshana.
Mkuu Hakuna sumu hapo imewekwa kwamba ukitumia utakufa halafu Taarifa yako isiyo ya magumashi kwann huiweki isaidie watu?
 
Mimi sijui tiba ya Corona ila haimaanishi siwezi kujua taarifa za kupotosha ambazo hazimsaidii ki vyovyote mtu aliyepata huo ugonjwa.Njia mojawapo ya kupambana na huu ugonjwa ni kutoa taarifa sahihi. Pale ambapo hatujui,tukiri tu hatujui kuliko kuzidi kupotoshana.
Ok tiba hujui, ila unajua kuwa hizo information ni upotoshaji, halafu Unasema hivyo ni upotoshaji kutokana na ingridients za hivyo vyakula kutokuwa sahihi si ndio?

Ukisahihisha zikawa sahihi na binadamu akatumia ili kuimarisha kinga yake dhidi ya covid hivyo vyakula vinageuka kuwa sumu mwilini? Maana watu wametumia na wakarudi sawa ss sijakuelewa hitimisho lako kuwa si salama linabase kwenye nini.
 
Nyie mbona mnakuwa na akili fupi hivyo!

Hamuoni huko kote waliko na hayo matunda yote kwa wingi wanaugua COVID kama kawaida?

Kama mnataka kupambana na COVID watu wote wavae barakoa, wanawae mikono, wajiupeshe na mikusanyiko na wapewe chanjo.Hayo mengine ni nyongeza tu kwa sasa ila sio ya msingi.
Ok tiba hujui, ila unajua kuwa hizo information ni upotoshaji, halafu Unasema hivyo ni upotoshaji kutokana na ingridients za hivyo vyakula kutokuwa sahihi si ndio? Ukisahihisha zikawa sahihi na binadamu akatumia ili kuimarisha kinga yake dhidi ya covid hivyo vyakula vinageuka kuwa sumu mwilini? Maana watu wametumia na wakarudi sawa ss sijakuelewa hitimisho lako kuwa si salama linabase kwenye nn.
 
Back
Top Bottom