Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Chiefs,
Naona tuko wengi sana ambao tulikuwa tuna-enjoy na kuelewa ule mtiririko ambao awali tulianza nao.
Tuwe wavumilivu kwa siku chache tu hizi nimalizane na "umma" kisha tuanze uzi "wetu" mpya.
Hakuna kilichoharibika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hiki ni *KIDOKEZO* tu kma alivosema ila tumefikshwa huku. Tumezunguka Marekani kwa CIA, NSA na idara zote zaulinzi, tumpita mashariki yakati yote mpaka morogoro tumefika
Jamaa ametuchoka
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3069]Na hapo bado... ningewapeleka Russia, Afghanistan, visiwa vya Diego Garcia alafu tungeibukia Minnesotta Marekani.
Haujakavaa vizuri mara tumeingia BDN, FBI, BIR.
Wakati huo India inakuja, inakataa..
Yani bro ungechoka haswaaaa si kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
tuko pamoja mzee baba naomba unambie kitabu cha ujasusi chochote kizuri nikipurchase online now mkuu
Naomba sana au kitabu chochote unachoweza hisi kitanisaidia nipate maarifa
Mkulima wa mahindi
[emoji23]Na hapo bado... ningewapeleka Russia, Afghanistan, visiwa vya Diego Garcia alafu tungeibukia Minnesotta Marekani.
Haujakavaa vizuri mara tumeingia BDN, FBI, BIR.
Wakati huo India inakuja, inakataa..
Yani bro ungechoka haswaaaa si kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mkuu bold umeushangaza umma kubadilisha mtiririko wa story, kisa vilaza wachache wanalialia, mbona tunaielewa vizuri story,umeamua kuwafurahisha vilaza huku sisi tunaoelewa ukituacha kwenye oblivion,hanna mtu amelazimishwa kusoma hii makala kwahiyo kama haelewi aende kusoma thread ya kula tunda kimasihara maana ndio thread ya uwezo wake wa kufikiri.
Na Mimi pia nakazia hili, kweli kabisa the bold hajatutendea haki. Huu Uzi unasomwa na watu zaidi ya laki moja Ila vicoment vya vihio wachache ndio vimesikilizwaUkiona kitabu hukielewi ujue wewe sio mlengwa
Ukiwa na kichwa chepesi huwezi kuelewa, lakini kila kitu kilikuwa kinaeleweka vizuri tuKwakweli muandishi amezingua sana. zaid ya wiki 2 mwanzoni mwahii makala kunasehem alirukia kuhusu tukio lilitokea iraq akatuambia tukariri wahusika wahilo tukio kina raymond, fahad na faheem lakin nahis ata yeye niamesahau kua alisema tukarir hao wahusika manake haku waongelea tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndicho nikionacho, watu wanatafuta umaarufu tu... Kukosoa Ni rahisiWrite your reply...mkuu Chizi Maarifa usitafute umaarufu kwa kumpinga jamaa,shusha nondo za maana tutakukubali na utakuwa maarufu na utaipiga hela, acha majungu Fanya kilicho bora umaarufu utakufuata.
Acha shobo kwa wanaume. usiniqouteUkiwa na kichwa chepesi huwezi kuelewa, lakini kila kitu kilikuwa kinaeleweka vizuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume hatupo kichoko choko Kama wewe, unaogopa kuwa quoted halafu unajiita mwanaume mburukenge we
Ushamba mwingi dogo. Mleta makala amaichukulia positive ww unajikuta nani kuniletea mboyoyo??Wanaume hatupo kichoko choko Kama wewe, unaogopa kuwa quoted halafu unajiita mwanaume mburukenge we
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini yangu hukuichukulia positive? Kulalamika lalamika ni uchoko boya we!!Ushamba mwingi dogo. Mleta makala amaichukulia positive ww unajikuta nani kuniletea mboyoyo??
Acha shobo utapakuliwa dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unalazimishe nikunotice?? Hayo mambo tunayaona kwa wanawake wabar. sitak mazoea namapunga nikaushieKwanini yangu hukuichukulia positive? Kulalamika lalamika ni uchoko boya we!!
Acha uchoko utatafunwa kalio hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
aaaah jkillar nikajua ulishakufa maana sioni nondo zako kabisa majukwaan hasa kweny uzi wa iPhone daaa nimemic zile nondo zako kinyama kamandaTo the moon and back
Blackberry