Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Naja mkuu uku wa mchangan washatibua vumbiNjoo kwenye group, story inaendelea kama kawaida.
Huku changanyikeni tunawapa kidogo kidogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naja mkuu uku wa mchangan washatibua vumbiNjoo kwenye group, story inaendelea kama kawaida.
Huku changanyikeni tunawapa kidogo kidogo.
the Board au siyo 😃 😃 😃hahah jamaa wameungana kama the Board wa kwenye vipepeo weusi
kama huelewi tafuta unachokiealewa then mambo yanakuwa murua
Kweli kabisa philosopher unakuta mtu tatizo lake yeye lakini anamlaumu mtu mwingine nashamshangaa sana mwandishi kwa kukubali matakwa ya retards kama hawaHizi stori kama una ubingo kama wa kuku utapotea tu. Hili ni jukwaa la intelligence tu. Mtu akiona ha-fit bora ajikatae tu
Mwandishi hakutaka kumwacha hata mmoja wetu nyuma. Amefanya fair🤣🤣Kweli kabisa philosopher unakuta mtu tatizo lake yeye lakini anamlaumu mtu mwingine nashamshangaa sana mwandishi kwa kukubali matakwa ya retards kama hawa
Saa nyingine inagharimu kidogo kutaka kuwaridhisha watu wote ,kwa kulitambua hilo mara nyingine bora lawama tu na maisha yanasongaMwandishi hakutaka kumwacha hata mmoja wetu nyuma. Amefanya fair🤣🤣
Sawa madam nimekuelewa sana,naona form six mnarudi shule June,bila shaka uliimiss shule yako ya jangwani girlsAcheni kupenda vya bure, jiungeni WhatsApp mchangie kidogo, siyo mnaleta mboyoyo kutaka dezo.
Aye Sir!Hapana mkuu... wacha tumalizane na 'umma' kwa siku chache hizi alafu tuanze uzi wetu mpya wa size yetu.
Hakuna lililoharibika chief
Sent using Jamii Forums mobile app
Wametukosesha epsode ya 8&9Saa nyingine inagharimu kidogo kutaka kuwaridhisha watu wote ,kwa kulitambua hilo mara nyingine bora lawama tu na maisha yanasonga
yes hahahthe Board au siyo 😃 😃 😃
Sawa madam nimekuelewa sana,naona form six mnarudi shule June,bila shaka uliimiss shule yako ya jangwani girls
😂😂😂 Mbulumundu ni nini mkuu"Nikaushie"
Hakuna mwanaume anatumia maneno Kama hayo mbulumundu wewe!!! Eti nikaushie!! Nahisi ulijishika hadi pua!! Hivi ukiwa shoga ni lazima ujionyeshe kila sehemu??
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bahati nzuri hiyo karama hauna ungekuwa nayo ungenyanyasa sana watu namkubali sana the bold coz km mwandishi anaijua hadhira yake na anajua adeal nayo vp, kila mtu ana haki ya kusikilizwa hata km anaongea upuuzi
Kwanini unataka usikilizwe wewe tu? Je watu wengine hawana haki ya kusikilizwa? Mwandishi yoyote yule anayejitambua lazima asikilize hadhira yake inataka nini hata km ni watu wawili kongole to bold anajua jinsi ya Ku deal na hadhira yakeNa Mimi pia nakazia hili, kweli kabisa the bold hajatutendea haki. Huu Uzi unasomwa na watu zaidi ya laki moja Ila vicoment vya vihio wachache ndio vimesikilizwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadhira imegawanyika wengine wameyakubali mabadiliko wengine wanayakataaKwanini unataka usikilizwe wewe tu? Je watu wengine hawana haki ya kusikilizwa? Mwandishi yoyote yule anayejitambua lazima asikilize hadhira yake inataka nini hata km ni watu wawili kongole to bold anajua jinsi ya Ku deal na hadhira yake
Unaikumbuka ile nyimbo jamaa analalamika "sababu ya ulofa"Acha kupenda vya bure, join WhatsApp uchangie, story iko full kwenye group.
Ukipenda vya bure basi usilalamike lalamike.
[emoji23][emoji23][emoji23] jitu jingajinga flani hivi[emoji23][emoji23][emoji23] Mbulumundu ni nini mkuu