COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

COVID-19 & DEEP STATE: Nini maana ya Uhandisi Jamii unaotokea Duniani!?

PICHA 1: Kila kijiduara kinawakilisha chombo cha usafiri


Screenshot_20200605-102948_Gallery.jpeg
 
Zitazame hizo picha tatu hapo juu...

Picha ya kwanza ya Satellite imepigwa kabla ya mwezi October. Inaonyesha flow ya kawaida ya traffic maeneo ya WIV (magari, piki piki n.k.).




Hii picha ya pili imepigwa wiki za kwanza za mwezi October. Picha hii inaonyesha barabara zinazozungula WIV zikiwa tupu kabisa.


Picha ya tatu ambayo pia imepigwa wiki za kwanza za mwezi Octoba inatoa walau wa mwanga kwa nini vyombo vya usafiri vilikuwa hazionekani barabarani.
Picha hii ya Satellite inaonyesha kwanza kuliwekwa kizuizi kwenye barabara inayopita pembezoni mwa kituo cha WIV.
Kwa tafasiri hii maana yake ni kwamba kizuizi hiki kilikuwa mahususi kwa ajili ya kurudisha magari yarudi yalikotoka na yasitumie barabara hiyo inayopita kariby na WIV.
Swali ni kwa nini?

Kwa nini ghafla tu… nasema ghafla sababu kituo hicho hakijawahi kitangaza kufungwa au wanasayansi wake kuondolewa kazini… lakini ghafla tu 'data' zinaonyesha kwamba mwanzoni mwa octoba hakukuwa na shughuli zozote za kawaida ambazo zinaendelea ndani ya kituo. Lakini pia ghafla tu barabara inayopita pembezoni mwa kito ikafungwa.

Kwa nini?


MACE wakazama ndani zaidi na kukuta kitu ambacho kinatia mshawasha zaidi… more interesting.. suala ambalo hasa niseme ndilo lilizua tafrani na Jumuiya ya Intelijensia ya Marekani kuamini kwamba kuna uwezekano mkubwa kirusi cha Covid-19 kimevujishwa toka maabara ya WIV.

Suala lenyewe ni data ambayo waliitafasiri toka kwenye hizi picha tatu hapa chini..
Muda mchache ujao nakuja kuzielezea.
 
Picha hizi tatu usichanganye na ile ya kwanza kabisa niliyoiweka. Picha hizi tatu ni telementry data iliyokusanywa na MACE ambayo fasiri yake pengine ndiyo iliyofumbua macho intelligence community kwamba kuna "jambo la zaidi" lilitokea pale Wuhan Institute of Virology. Nakuja kueleza
 
ITAENDELEA...



The Bold - 0718 096 811 (WhatsApp Only)



Note: Hiki kitu sijui niseme mara ngapi... ninapokuwa kimya tafadhali kuweni wavumilivu. Nami nina majukumu pia, ni mtumishi mahala, pia nina familia, ndugu na jamaa ambao wananitegemea. Kuna wakati yanipasa nitumie muda wangu kwa ajili ya hayo majukumu mengine. Tuwe na utulivu na uvumilivu tafadhali.
Kuna wale wanaopenda kulinganisha kwamba huku sipost lakini kwenye group langu la WhatsApp napost, wanakosea sana. Nitakuwa sitendi haki kama nikiwapostia huku sawasawa na wale walionifata WhatsApp kuniunga mkono nipate japo hela ya Soda. Kule ni "premium" kwa hiyo najitahidi kuwapostia mara nyingi kadiri niwezavyo.
Lakini hapa Jamii Forums ni nyumbani na kamwe sitoacha kupost Makala.

Ukiona niko kimya basi ujue kuna sababu moja tu... nimebanwa na masuala mengine...

Wale watukanaji waendelee... iko siku nitawateka (LOL utani... waendelee kutukana maana kama wampiga chura teke).


Imekaa sawa...

Habib "The Bold"
 
Iko sawa. Umeeleweka sana....

Naomba uzame chimbo kuhusiana na jambo moja nakuomba...

Trend ya Covid-19, Bill and Melinda Gates "Kuhusiana na chanjo", USA election, George Floyd Death, Maandamano USA na nchi zingine za Yuropa na msimamo wa Trump!
Naomba msaada kuunganisha hizo dots... Yamkini zinaweza zisiwe na mahusiano na hili, lakini kwa nini sasa?

Je mpango wa Covid hauwezi kuwa umeingia kirusi baada ya haya maandamano kudai haki za George Floyd?

Au je, Covid, Maandamano ama Kifo cha Floyd ni kutafutwa kwa Donald Trump?

Wasikilize Obama na Democrats wananavyo act sasa, Je Trump yawezekana ni kizingiti cha kukamilisha mpango wao wa Covid??

Msaada!
 
Sasa uwe unatutaarifu maana wengine tunaweka bando kuangalia mwendelezo kaka
ITAENDELEA...



The Bold - 0718 096 811 (WhatsApp Only)



Note: Hiki kitu sijui niseme mara ngapi... ninapokuwa kimya tafadhali kuweni wavumilivu. Nami nina majukumu pia, ni mtumishi mahala, pia nina familia, ndugu na jamaa ambao wananitegemea. Kuna wakati yanipasa nitumie muda wangu kwa ajili ya hayo majukumu mengine. Tuwe na utulivu na uvumilivu tafadhali.
Kuna wale wanaopenda kulinganisha kwamba huku sipost lakini kwenye group langu la WhatsApp napost, wanakosea sana. Nitakuwa sitendi haki kama nikiwapostia huku sawasawa na wale walionifata WhatsApp kuniunga mkono nipate japo hela ya Soda. Kule ni "premium" kwa hiyo najitahidi kuwapostia mara nyingi kadiri niwezavyo.
Lakini hapa Jamii Forums ni nyumbani na kamwe sitoacha kupost Makala.

Ukiona niko kimya basi ujue kuna sababu moja tu... nimebanwa na masuala mengine...

Wale watukanaji waendelee... iko siku nitawateka (LOL utani... waendelee kutukana maana kama wampiga chura teke).


Imekaa sawa...

Habib "The Bold"
 
Iko sawa. Umeeleweka sana....

Naomba uzame chimbo kuhusiana na jambo moja nakuomba...

Trend ya Covid-19, Bill and Melinda Gates "Kuhusiana na chanjo", USA election, George Floyd Death, Maandamano USA na nchi zingine za Yuropa na msimamo wa Trump!
Naomba msaada kuunganisha hizo dots... Yamkini zinaweza zisiwe na mahusiano na hili, lakini kwa nini sasa?

Je mpango wa Covid hauwezi kuwa umeingia kirusi baada ya haya maandamano kudai haki za George Floyd?

Au je, Covid, Maandamano ama Kifo cha Floyd ni kutafutwa kwa Donald Trump?

Wasikilize Obama na Democrats wananavyo act sasa, Je Trump yawezekana ni kizingiti cha kukamilisha mpango wao wa Covid??

Msaada!
Kabisa hizo dots hata mimi zinanitatiza .
 
Loh chief umenitonesha kidonda...


Nilikuwa nawachambulia Wapwa zangu hawa kwa undani namna gani Deep State ina-oparate lakini kuna waungwana wakaanza kulalama kwamba nawachanganya hawaelewi niende moja kwa moja nieleze kuhusu Wuhan.
Ikabidi nikatishe uhondo niwaeleze hiyo Wuhan kama unavyoona hapo.

Wangeniacha tungenufaika sana na mjadala wa Deep State.

Kama ni mfuatiliaji wa mambo kuna masuala kadhaa utakuwa umetagundua.
Suala la Covid-19 haliongelewi tena. Ghafla tu hakuna anayezungumzia 'social distancing' wala kuvaa mask... badala yake watu wale wale ambao walikuwa wanahamasisha watu wakae ndani ndio hao hao ambao wanahamasisha watu wakaandamane badala ya kufanya 'social distancing'.

Do you think its a coincidence?? No no no... kuna viti kwenye hii dunia vinatokea tunadhani ni bahati mbaya ila kiuhalisia viko planned careful and meticulously.

Hawa wapwa zangu wangeniacha nichambue kuhusu Deep State kisha niingie huku kwenye Corona tungeelewa kwa wepesi sana hata maana ya haya maandamano makubwa ambayo yanaendelea kwenye za magharibi.


Ila kama ambavyo nimeahidi... nikimaliza hii ya Covid-19 nitaanza Deep State kwa wale wenye misuli ya kusoma vitu vigumu.
Iko sawa. Umeeleweka sana....

Naomba uzame chimbo kuhusiana na jambo moja nakuomba...

Trend ya Covid-19, Bill and Melinda Gates "Kuhusiana na chanjo", USA election, George Floyd Death, Maandamano USA na nchi zingine za Yuropa na msimamo wa Trump!
Naomba msaada kuunganisha hizo dots... Yamkini zinaweza zisiwe na mahusiano na hili, lakini kwa nini sasa?

Je mpango wa Covid hauwezi kuwa umeingia kirusi baada ya haya maandamano kudai haki za George Floyd?

Au je, Covid, Maandamano ama Kifo cha Floyd ni kutafutwa kwa Donald Trump?

Wasikilize Obama na Democrats wananavyo act sasa, Je Trump yawezekana ni kizingiti cha kukamilisha mpango wao wa Covid??

Msaada!
 
Loh chief umenitonesha kidonda...


Nilikuwa nawachambulia Wapwa zangu hawa kwa undani namna gani Deep State ina-oparate lakini kuna waungwana wakaanza kulalama kwamba nawachanganya hawaelewi niende moja kwa moja nieleze kuhusu Wuhan.
Ikabidi nikatishe uhondo niwaeleze hiyo Wuhan kama unavyoona hapo.

Wangeniacha tungenufaika sana na mjadala wa Deep State.

Kama ni mfuatiliaji wa mambo kuna masuala kadhaa utakuwa umetagundua.
Suala la Covid-19 haliongelewi tena. Ghafla tu hakuna anayezungumzia 'social distancing' wala kuvaa mask... badala yake watu wale wale ambao walikuwa wanahamasisha watu wakae ndani ndio hao hao ambao wanahamasisha watu wakaandamane badala ya kufanya 'social distancing'.

Do you think its a coincidence?? No no no... kuna viti kwenye hii dunia vinatokea tunadhani ni bahati mbaya ila kiuhalisia viko planned careful and meticulously.

Hawa wapwa zangu wangeniacha nichambue kuhusu Deep State kisha niingie huku kwenye Corona tungeelewa kwa wepesi sana hata maana ya haya maandamano makubwa ambayo yanaendelea kwenye za magharibi.


Ila kama ambavyo nimeahidi... nikimaliza hii ya Covid-19 nitaanza Deep State kwa wale wenye misuli ya kusoma vitu vigumu.
Pole sana mjomba..... (Na Mimi ni mpwa[emoji23][emoji23])
Mimi ninafuatilia kiasi kidogo sana, ila hii issue imekuja na vurugu nyingi sana, ndo maana nikaomba hizi dots ziunganishwe.

Tunausubiri huo uzi, ila si mbaya ukawa unatoneshea tone tone kidogo kwenye uzi wa Wuhan pekee.

Najua mambo ni mengi na muda unaenda kasi sana, Mungu akuweke na akupe wepesi, utuvumbulie vitu!
 
Amen chief... tuko pamoja
Pole sana mjomba..... (Na Mimi ni mpwa[emoji23][emoji23])
Mimi ninafuatilia kiasi kidogo sana, ila hii issue imekuja na vurugu nyingi sana, ndo maana nikaomba hizi dots ziunganishwe.

Tunausubiri huo uzi, ila si mbaya ukawa unatoneshea tone tone kidogo kwenye uzi wa Wuhan pekee.

Najua mambo ni mengi na muda unaenda kasi sana, Mungu akuweke na akupe wepesi, utuvumbulie vitu!
 
Unabore sana maelezo mengi hueleweki hata unataka stori iwe ndefu kuna mdau hapaaa Mizani kaandika shortcut flani lakini kaeleweka mi kuanzia leo sisomi story zako ubabaishaji ni mwingi
Duh, sasa mzee kama unataka stor fupi si uende insta na Fb mzee. Hapa hapakutoshi, wabongo wavivu sana ndomana Mzungu atatutawala miaka yote duniani,
 
Back
Top Bottom